Thomas Odera
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 670
- 149
Kwa kawaida na desturi mafahali wawili hawakai zizi moja na hata iweje ni vigumu sana kwa mwanaume amfumanie mkewe halafu amsamehe. Pia dada walioko humu watakubaliana nami kuwa hata wao hawatakubaliana wake za kaka zao wawe na wanaume wengind nje ya ndoa maana hiyo huhatarisha maisha ya kaka zao. Kusamehe ni vigumu sana