Ugomvi mwingine ni majanga!

Eti linguruwe lilikula mkono wa Mtume na kuanzia hapo waamini wooooote wakakoma kula pigs!!

Hizi dini hizi zinazalisha vichaa wasiojitambua ila wao wanaona wako sawa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mama unakoelekea siku izi, Mungu akusaidie tu mana sio yule niliyemfahamu kipindi kile. Naisi kama wamekufanyia Cloning,
Kwi kwi kwi teh teh teh.

Nimeanza alfajiri, nimesoma Qur'an, nimeswali, nikachekewa kahawa nikachukua biblia, kufunguwa nikakuta a na hiyo joke,nikachekewa sana na kufurahi nikisema niishare furaha yangu na wezangu wa JF.

Naona wenzangu kabla ya kukisoma hicho kisa na nyinyi mfurahi mnaanza kuleta majanga!
 
Eti linguruwe lilikula mkono wa Mtume na kuanzia hapo waamini wooooote wakakoma kula pigs!!

Hizi dini hizi zinazalisha vichaa wasiojitambua ila wao wanaona wako sawa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona post namba moja? Ina mistari ya biblia. Hiyo yako umejitungia.

Unajuwa nani wameitwa nguruwe na mbwa kwenye biblia?
 
Kwi kwi kwi teh teh teh.

Nimeanza alfajiri, nimesoma Qur'an, nimeswali, nikachekewa kahawa nikachukua biblia, kufunguwa nikakuta a na hiyo joke,nikachekewa sana na kufurahi nikisema niishare furaha yangu na wezangu wa JF.

Naona wenzangu kabla ya kukisoma hicho kisa na nyinyi mfurahi mnaanza kuleta majanga!
Hongera kwa kusoma Biblia , utakuja ijua kweli.
 
Oooohh!!!
Sawa hata faizafoxy sio jina
Ni kimtu tu, kikosa kazi kimekalia ujinga, badara ya kufanya kazi kinakaa kushabikia miarabu na lugha za kiwizi wizi,

Leteni kitabu chenu cha lugha kama English au kiswahili muone mtakavo umbuka.

By the way, ni jokes tu
Kwi kwi kwi teh teh teh.

Nimeanza alfajiri, nimesoma Qur'an, nimeswali, nikachemsha kahawa nikachukua biblia, kufunguwa nikakutana na hiyo joke, nikacheka sana na kufurahi nikisema niishare furaha yangu na wezangu wa JF. Kumbe ni majanga!


Mungu siyo jina. Kamuulize Mwalimu wako akueleweshe vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oooohh!!!
Sawa hata faizafoxy sio jina
Ni kimtu tu, kikosa kazi kimekalia ujinga, badara ya kufanya kazi kinakaa kushabikia miarabu na lugha za kiwizi wizi,

Leteni kitabu chenu cha lugha kama English au kiswahili muone mtakavo umbuka.

By the way, ni jokes tu


Sent using Jamii Forums mobile app


Biblia kitabu chako?

Hivi siku hizi kuna kutafuta kitabu? Unaonesha baada ya kufundishwa kuingia JF huna ulijualo kwenye mtandao. Pole sana, waambie wakufundishe na kusoma vitabu kupitia simu yako.

Wewe kweli punguani.
 
Duh mungu kadundwa
Hatar faiza hii ishu ni kweli imeandikwa na bible
Hii story ni uongo au huyu mungu ni wa uongo au kitabu kina uongo au wajuvi watutafsirie maana naona kuna ngombe wanataka kushindana na ukweli
 
Hakuna tafsiri hapo nimeweka na mistari ya biblia. Tafsiri wewe.
Af wewe Faiza wewe! ni Biblia siyo biblia. any way labda wewe umesoma biblia toleo la kisasa. ambalo wengi humu ndani sidhani kama wanaijua.
 
Af wewe Faiza wewe! ni Biblia siyo biblia. any way labda wewe umesoma biblia toleo la kisasa. ambalo wengi humu ndani sidhani kama wanaijua.
Duh! Kumbe kuna matoleo ya kisiasa na kizamani kwenye biblia? Na yote hayo ni ufunuo?!


Wewe unasoma toleo lipi tukuwekee hiyo aya kutokana na toleo lako, liwe la zamani au la kisasa.

Umesoma vizuri lakini huo ugomvi? Jamaa huyo kiboko, anapigana na mungu!
 
Haya ni matatizo ya kuanza kugegedwa na mtume toka ukiwa na miaka 9. Lazima akili yako isiwe sawa... Kikawaida unaathirika kiakili na uwezo wa kufikiri. Maana unakuwa umeanza kubakwa ukiwa mdogo....😁😁😁 Athari zake ndo tunakuja kuziona ukiwa na umri huu.

Hii habari nilipoisoma binafsi nikicheka sana, ni ya ukweli kabisa...

Jamaa kapigana na "mungu" na akamshinda, kama hiyo haitoshi kuwa janga. Jamaa kamshinda "mungu" kwa kupitisha mkono na "kumgusa" kwenye "uvungu" wa paja la "mungu". Jaza mwenyewe huo uvungu wa paja ni wapi?

Mwanzo 32:
24 Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.
25 Naye alipoona ya kuwa hamshindi, alimgusa panapo uvungu wa paja lake; ukateguka uvungu wa paja la Yakobo alipokuwa akishindana naye.
26 Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.
27 Akamwuliza, Jina lako n'nani? Akasema, Yakobo.
28 Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom