Uganda kuidhinisha Kiswahili kama lugha ya pili baada ya Kingereza - Wakenya fursa hizooo

Kamusi za kihuni hzo...kamusi zote kongwe hamna vitu vya kipuuzi km hvyo...eti "hiko"
Nilicheka sana...

Watanzania wengi wanashindwa kuyatamka hayo maneno...
Wakenya ni wapumbavuu kama wasomi wetu wa kiswahili Kwa kutokujua maana ya kamusi zetu unakuta baraza la kiswahili tz lina dhana potovu yakudhani kamusi ndiyo kiswahili fasaha au professional wakati kiswahili cha kamusi ni kiswahili kilicho kusanywa wakati ambapo lugha ilikuwa kienyeji yaani siyo professional
Hivyo kiswahili kilichopo kwenye kamusi mimi napenda nikiite ni kiswahili cha kale mseto wa pwani ya EAC kisicho kuwa professional bali ni kiswahili cha kienyeji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom