and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,120
Kwenye masuala ya umiliki wa Ndege, Uganda waliamshwa na Magufuli.Hawa Majirani tuwaangalie kwa jicho makini. Tuweke mipango inayoeleweka tuache kulia lia.
**Tayari wanatua OR Tambo, Dubai, Bujumbura, Juba, Dar, Kilimanjaro na Mogadishu.
View attachment 2188906
Usishangae wakatuzidKwenye masuala ya umiliki wa Ndege, Uganda waliamshwa na Magufuli.
Ni kweli kwa vile watanzania waliamua kuchukia ndege hizo kutokana na kuwa ilikuwa ni initiave ya Magufuli; wakafanya swala la ndege kuwa kuwa ni la Magufuli personally badala ya kujua kuwa ni ndege zetu wote. Sasa hivi kuna kila jitihada za kuonyesha kuwa ndege hizo ni hasara tupu.Usishangae wakatuzid
Hii nchi wachawi ni hawa hawa viongozi wetuNi kweli kwa vile watanzania waliamua kuchukia ndege hizo kutokana na kuwa ilikuwa ni initiave ya Magufuli; wakafanya swala la ndege kuwa kuwa ni la Magufuli personally badala ya kujua kuwa ni ndege zetu wote. Sasa hivi kuna kila jitihada za kuonyesha kuwa ndege hizo ni hasara tupu.
Hata middle East Serikali inaweka pesa nyingi Sana kwenye flag carrier zaoBiashara ya ndege nchi za afrika inakula uchumi badala ya kujenga uchumi
Midege si imenunuliwaSisi bibi tozo anazurula tu hana hata habari,anasubiri kudanganywa tu yeye anawaamini mawaziri wake kwa 10000000000000000000000% hana hata habari,anayaamini machawa yake ndio maana hata ziara mikoani hafanyi yenyewe yameanza kuruka kwa chopa sasa.Hana muda wa kujua kero za wananchi wakijua akina nape,aweso,mwigulu,makamba na chawa wengine inatosha hata wakimdanganya sawa tu anaona wanapiga kazi haswa,ni aibu kwa kweli
Wanajiamini vipi kutua Mogadishu? Mogadishu ni visingle engine tu cassena ndo vinatua tena kwa kuvizia vizia.Hawa Majirani tuwaangalie kwa jicho makini. Tuweke mipango inayoeleweka tuache kulia lia.
**Tayari wanatua OR Tambo, Dubai, Bujumbura, Juba, Dar, Kilimanjaro na Mogadishu.
View attachment 2188906
Turkish, Qatar na Ethiopian wanatua MogadishuWanajiamini vipi kutua Mogadishu? Mogadishu ni visingle engine tu cassena ndo vinatua tena kwa kuvizia vizia.
Inasikitisha sana...navyoiona Tanzania mbele ni kuna giza kubwa .Ni kweli kwa vile watanzania waliamua kuchukia ndege hizo kutokana na kuwa ilikuwa ni initiave ya Magufuli; wakafanya swala la ndege kuwa kuwa ni la Magufuli personally badala ya kujua kuwa ni ndege zetu wote. Sasa hivi kuna kila jitihada za kuonyesha kuwa ndege hizo ni hasara tupu.
Tatizo letu ni mtu alokuwa akiitwa Magufuli.Hawa Majirani tuwaangalie kwa jicho makini. Tuweke mipango inayoeleweka tuache kulia lia.
**Tayari wanatua OR Tambo, Dubai, Bujumbura, Juba, Dar, Kilimanjaro na Mogadishu.
View attachment 2188906
Tatizo lipo hapa, ila kwakuwa zipo tayari basi wahusika washirika wajipange, lile moja kubwa limekaa sana pale uwanjani lisije pata kutu....Ndege zilinunuliwa bila kua na business plan-CAG Assad.