Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Maisha ya waarabu yanaongozwa na uislamu, uislamu ni mwongozo, mafundisho ya maisha, matendo, kufikiri, kutembea, kuvaa, kula, kuswali, kwenda hata haja ndogo/kubwa (lazima kutumia maji, siyo hiari) etc. Sasa unatenganishaje na hilo?Maana nyepesi ya ugaidi ni matumizi yasiyo halali ya mabavu na vitisho hasa dhidi ya raia kwa malengo ya kisiasa. Kihistoria ugaidi umekuwepo tangu zamani lakini ukiacha wakati wa vita, ugaidi huo ili kuwa ukihusisha jamii husika na wala haukulenga jamii nyingine.
Hata hivyo katika namna ya ajabu sana, ugaidi wa kuanzia Karne ya 20 hadi sasa na ambao ndio mkubwa ukiona na madhara makubwa, umekuwa ukihusisha jamii fulani dhidi ya jamii ambayo hazihusiani. Mfano: ISIS dhidi ya nchi za Ulaya. Kuna vikundi vingi via kigaidi duniani japokuwa vyenye nguvu ni vichache karibia vyote vikiwemo kwenye nchi za kiislamu.
Kumekuwepo tuhuma za kuhusisha uislamu na ugaidi. Hata hivyo, ukifuatilia sana jamii za wanadamu dunia nzima, utagundua nchi za kiislamu ziko nyingi duniani hasa katika Bara la Asia na kwamba zipo nyingi ambazo ni ngumu kuamini kuwa ni za kiislamu - Malaysia, Indonesia na Bangladeshi. Nchi hizo zikiwemo Indonesia ni ya kwanza kwa kuwa na waislamu wengi duniani na Bangladesh ni ya tatu badala ya Pakistani. Wananchi wa nchi hizo tajwa wanaishi kwenye maeneo yenye rutuba na mvua nyingi hivyo kusema kutengeneza jamii yenye upole na Amani.
Hata hivyo nchi za kiarabu ambazo zikiwemo kwenye majangwa zimekuwa na changamoto ya ugumu wa mazingira hivyo kujikuta wanazoea mazingira ya ubabe na uchokozi. Nchi hizo ziliingia kwenye uislamu siyo kwa kutaka Bali kwa jihad, hivyo miaka leo mfumo wao wa maisha umekuwa wa kibabe kutokana na mazingira magumu. Ndiyo maana waislamu wa nchini hawana msimamo mkali kama nchi zinazozunguka Jangwa la Sahara.
Unapofikiria suala Hilo fikiria jinsi wafugaji nao huwa ni sababu dhidi ya wakulima utaelewa kwani maeneo ya waarabu kilikuwa hakiwezekani zaidi ya ufugaji.
Sawa lakini ukiona kwenye nchi za Asia ya Kusini na Mashariki ya Karibu, utashangaa kuona kuwa they are mostly peaceful ukilinganisha na hao waarabu pure. Hata ukiona hapa Afrika, wale waislamu wa majangwani ndio sababu lakini siyo walioko kwenye Hali mzuri ya hewa. Fikiria katika Afrika, waislamu walioko Senegal, Gambia, Guinea na Sierra Leone.Maisha ya waarabu yanaongozwa na uislamu, uislamu ni mwongozo, mafundisho ya maisha, matendo, kufikiri, kutembea, kuvaa, kula, kuswali, kwenda hata haja ndogo/kubwa (lazima kutumia maji, siyo hiari) etc. Sasa unatenganishaje na hilo?
Sisi sio wenye dini, wenye dini ndio kioo, mfano; na ndiyo maana bado kiarabu kinatumika kama lugha rasmi! Wenye dini, sio sisi wa kuletewaSawa lakini ukiona kwenye nchi za Asia ya Kusini na Mashariki ya Karibu, utashangaa kuona kuwa they are mostly peaceful ukilinganisha na hao waarabu pure. Hata ukiona hapa Afrika, wale waislamu wa majangwani ndio sababu lakini siyo walioko kwenye Hali mzuri ya hewa. Fikiria katika Afrika, waislamu walioko Senegal, Gambia, Guinea na Sierra Leone.
Hata hapa Tanzania, isingekuwa kuwepo kwa Washirazi Pemba, waislamu wa Zanzibar wangekuwa nao ni watulivu tu kama walivyo wa Comoro.
Sijakuelewa unamaanisha nini? Kwani Nani amekwambia uislamu ulisambaa uarabuni siku moja? Wamepigana sana hao kueneza dini hiyo asikwambie mtu. We pale Palestine lichen ya kupakana na Saudia lakini ilichukua zaidi ya miaka 500 kuliteka eneo hilo lote. So usiseme ni ya waarabu bora useme uislamu ni wa watu wa Makkah na Madinah basi.Sisi sio wenye dini, wenye dini ndio kioo, mfano; na ndiyo maana bado kiarabu kinatumika kama lugha rasmi! Wenye dini, sio sisi wa kuletewa
Uislamu ni dini ya waarabu, kama unakataa hilo, basi kwaheri!Sijakuelewa unamaanisha nini? Kwani Nani amekwambia uislamu ulisambaa uarabuni siku moja? Wamepigana sana hao kueneza dini hiyo asikwambie mtu. We pale Palestine lichen ya kupakana na Saudia lakini ilichukua zaidi ya miaka 500 kuliteka eneo hilo lote. So usiseme ni ya waarabu bora useme uislamu ni wa watu wa Makkah na Madinah basi.
Wewe hujaelewa vyema concept ya waarabu ipo katika ile ya Semitic na Hamitic. Jamii hizo zina ukaribu sana na zinapakana. Hivyo Nigeria maeneo yenye ugaidi wale ni Fulani na Hausa ambao ni Hamites kama walivyo wasomali, watuareg wa Niger, Chad, Mali na Mauritania. Hao siyo Jamii yetu ya kibantu na kinegro and they are more of Arabic than African.Kwani wale magaidi wa nigeria bokoharam ni waarabu?.
Ugaidi utaisha wakati UFALME WA MUNGU utaanza kuitawala Dunia.Yesu ataondoa UOVU na watenda maovu Kisha Amani,usalama,haki zitatamalaki.(Soma Zaburi 72:10-16, Zaburi 37:9-11,Mathayo 6:9,10,Ufunuo 11:18)Natamani kweli Ugaidi ungeisha hapa duniani tuishi salama
Jamari msiniquote vibaya. Sijamaanisha kwingine hakuna ugaidi lakini la muhimu angalia wanaotoa mafundisho ni akina Nani. Mtu anaulizia Kibiti ama Amboni lakini ni wazi kuwa Hawa ni vijana wetu wanaopelekwa Somalia na Sudan kufundishwa ugaidi lakini siyo waislamu wa Tanzania kuleta wa kutoka nje kufundisha ugaidi.Kibiti kuna waarabu?
Mkuu kwa hiyo kama hamna maji huwezi kwenda haja?....Maisha ya waarabu yanaongozwa na uislamu, uislamu ni mwongozo, mafundisho ya maisha, matendo, kufikiri, kutembea, kuvaa, kula, kuswali, kwenda hata haja ndogo/kubwa (lazima kutumia maji, siyo hiari) etc. Sasa unatenganishaje na hilo?