Ugaidi katika utamaduni wa binadamu

PITA HUKU,
KUNA conspiracy, Mambo ya kiroho, Mambo ya kiuchumi, kisiasa na kivita. Lakini jamaa amekuwa biased kwenye kona moja ambayo inadestroy concept ya mada.
Hapa kazi ipo
WW1, WW2 na kinachoendelea Sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli
 
Sawa mkuu nimekusoma ngoja tuache watu wasome na wachangie tusiwachanganye.....
 
Mkuu hebu nimekuandikia PM.
Jf ni burudani na maarifa tosha wala hamjatupoteza sana kuna kitu tunakipata, niwaombe muanzishe mada ya " ulimwengu wetu na ulimwengu wa kiroho" iwe mada endelevu tupate maarifa hayo huko ili msikwazike mnapoanzisha mada zenu naamini hata kama amewatoa ktk mada kuna vitu tumepata vya tofauti sana.
 
Tumia kiswahili tafadhari hamna wazungu humu
 
Duuh watu mnajua..huyu mkuu Lumumba toka muda namwelewa sana

HV vitabu sijui mnasomaje aisee mpk mambo yanakaa kichwan mda wote mpk majina ya watu??

My b coz napenda number
 
Afadhali umeniwakilisha mkuu
Ubarikiwe

Huwa naona ni kama Habari zisizo za lazima kujua

Na hazitakuja kwisha, hivyo zinachosha.

Mtu unalazimishwa kuwa shilawadu wa maisha ya Watu na kuona ni Elimu.Ni Upuuzi
 
Muendelezo ndo ukafia njiani, so sad hawa jamaa hawaandiki tena haya maujuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…