Ufunuo wa Mchungaji!

mwalimu aneiba chaki za shule kwenda kufundishia tiusheni,
nesi anaeiba sindano kuzitumia nyumbani kwake kutibu wagonjwa nyumbani kwa malipo,
secretary[katibu muhtasi]anaeiba stationery za ofisi akazitumia kwa matumizi binafsi,
bosi anaeondoka ofisini muda wa kazi na kufanya shughuli zake binafsi,
dereva anaetumia gari la ofisi kwa matumizi yake binafsi,
mwanafunzi anaetumia mbinu zisizo halali kufaulu mtihani,
dereva wa daladala anaekatisha njia,
mfanyakazi aliyeacha kazi yake nakuja humu jf kujibu ktk muda wa kazi
nk, hawa si mafisadi?
 
mkumbuke ya kwamba,
tukitaka mabadiliko twendeni tukapige kura na kufanya mabadiliko kuanzia kwenye serikali za mitaa(chaguzi ndogo ndogo).kinyume na hilo,tunapoteza muda kujadili mambo bila utekelezaji.
 
mwalimu aneiba chaki za shule kwenda kufundishia tiusheni,

mwanafunzi anaetumia mbinu zisizo halali kufaulu mtihani,
dereva wa daladala anaekatisha njia,
mfanyakazi aliyeacha kazi yake nakuja humu jf kujibu ktk muda wa kazi
nk, hawa si mafisadi?

Umenichekesha kweli mpaka tutakapojua maana ya ufisadi ni nini ndo tutaacha ufisadi.

Kizazi kijacho ndo balaa, pale IFM kwa msimu huu yaani wiki hii wanaanza masomo, huwezi kupata kitanda bila ya kuonga shilingi 800,000/= !!! sana sana wanachangia wawili walale pamoja kwa kugawana nusu kwa nusu, ebu jiulize huyu mwanafunzi anaanza masomo ya accountant, benki n.k anaanza kwa kutoa hongo hiyo, na je akianza kazi ofisini itakuwaje? tunajenga au tunabomoa kizazi??

Pia Kishoka umegusia suala la usafi, nadhani hii ni tabia. Mh. Mengi alijitahidi sana kufundisha tabia ya kuachana na uchafu lakini bado hata serikali na sisi binadamu hatuna/hatujifunzi maana ya usafi hata ule mzunguko wa nyumbani kwako bado unakuta kuchafu. Kuanzia viongozi wa Mtaa hadi juu wamelala kwani ndivyo walivyo na ndivyo walivyokulia.

Mishahara bado ni midogo na mfumuko wa bei ni mkubwa mno. Huwezi kuishi kwa shs. 200,000/= kwa mwezi, ulipie bills zote, chakula na usomeshe watoto, hiyo inachangia saana kuleta ufisadi (rushwa). Linganisha na nchi jirani ya Kenya wao wako juu kwenye malipo yao.
 
wananchi wanakubali kuburuzwa na Serikali na vitisho kama vya Dawasco au Tanesco.

Ni kweli WTZ - we are suffering alot - LAKINI MCHUKULIE MTANZANIA WA KAWAIDA, AWE AMEAJIRIWA, AMEJIAJIRI, MMACHINGA, AU HANA AJIRA ETC. Katika KERO zote zinazosababishwa na Serikali yetu - ikiwa WAJIBU WETU NI KULIPA KODI, KULIPIA BILLS - UMEME, MAJI ETC. - na SERIKALI HAIWAJIBIKI KWETU - TUFANYEJE?? TUKIJARIBU KUEXPRESS MAWAZO YETU - HATA KWA MAANDAMANO YA AMANI - FFU N VIRUNGU, GAS ZA MACHOZI, FARASI, MBWA WAKO NJIANI KUTUZUIA - IKIWA NA MAANA HATUTAKIWI KUSEMA CHOCHOTE ......... tufanyeje?????? hata tungeandika MAGAZETINI - mwishoni yanasomwa siku hiyo na KESHO YAKE zinatoka article nyingine - MAONI YAMESAHAULIWA ....... TUISHITAKI SERIKALI??? REV. MTIKILA AMESHAJARIBU MARA KADHAA ................... ANABAKIA KUCHEKWA - PLEASE REV. KISHOKA - IF YOU HAVE AN IDEA WHAT WE ARE SUPPOSED TO DO OR ACT - SHOW THE WAY .................... ni kweli WATZ sisi wenyewe (baadhi) tunatupa uchafu, lakini hata ule unaokusanywa basi - JIJI (SERIKALI YETU) INAFANYA NINI?? KODI WANAZOTUTOZA SIKU ZOTE ZINAFANYA KAZI GANI? MAJI TUNALIPIA BILL - MGAO UPO PALE PALE - KODI TUNALIPA BARABARA FINYU PALE PALE - NDIO MAANA WATZ wamechoka tena tumechoka sana - out of frustrations, sheria zinavunjwa - KODI KODI KODI - KILA MAHALI - UNGENUNUA KITU KUNA VAT, UKIEGESHA GARI UNALIPIA, UKIENDA HOSPITAL UNALIPIA, UMEME UNALIPIA, MAJI YASIYOPATIKANA UNALIPIA .... JAMANI KAMA KUNA JINSI YA KUJIKWAMUA - COME UP WITH A WAY - NADHANI WATZ WENGI WANAHITAJI KUONYESHWA NJIA - KWANI TUMECHOKAAAAAAAAAAAAA - HATA TUKIIBWAGA CCM, WHO CAN TELL OR BELIEVE THAT CUF, CHADEMA OR WHATEVER ITALETA MABADILIKO JAMANI????? KAMA NI KUOMBA... TUMEOMBA SANA .... ILA WE STILL HAVE HOPES THAT ONE DAY GOD WILL SHOW US THE WAY THROUGH SOMEONE WITH A HEART OF GOD.
 
wananchi wanakubali kuburuzwa na Serikali na vitisho kama vya Dawasco au Tanesco.

Ni kweli WTZ - we are suffering alot - LAKINI MCHUKULIE MTANZANIA WA KAWAIDA, AWE AMEAJIRIWA, AMEJIAJIRI, MMACHINGA, AU HANA AJIRA ETC. Katika KERO zote zinazosababishwa na Serikali yetu - ikiwa WAJIBU WETU NI KULIPA KODI, KULIPIA BILLS - UMEME, MAJI ETC. - na SERIKALI HAIWAJIBIKI KWETU - TUFANYEJE?? TUKIJARIBU KUEXPRESS MAWAZO YETU - HATA KWA MAANDAMANO YA AMANI - FFU N VIRUNGU, GAS ZA MACHOZI, FARASI, MBWA WAKO NJIANI KUTUZUIA - IKIWA NA MAANA HATUTAKIWI KUSEMA CHOCHOTE ......... tufanyeje?????? hata tungeandika MAGAZETINI - mwishoni yanasomwa siku hiyo na KESHO YAKE zinatoka article nyingine - MAONI YAMESAHAULIWA ....... TUISHITAKI SERIKALI??? REV. MTIKILA AMESHAJARIBU MARA KADHAA ................... ANABAKIA KUCHEKWA - PLEASE REV. KISHOKA - IF YOU HAVE AN IDEA WHAT WE ARE SUPPOSED TO DO OR ACT - SHOW THE WAY .................... ni kweli WATZ sisi wenyewe (baadhi) tunatupa uchafu, lakini hata ule unaokusanywa basi - JIJI (SERIKALI YETU) INAFANYA NINI?? KODI WANAZOTUTOZA SIKU ZOTE ZINAFANYA KAZI GANI? MAJI TUNALIPIA BILL - MGAO UPO PALE PALE - KODI TUNALIPA BARABARA FINYU PALE PALE - NDIO MAANA WATZ wamechoka tena tumechoka sana - out of frustrations, sheria zinavunjwa - KODI KODI KODI - KILA MAHALI - UNGENUNUA KITU KUNA VAT, UKIEGESHA GARI UNALIPIA, UKIENDA HOSPITAL UNALIPIA, UMEME UNALIPIA, MAJI YASIYOPATIKANA UNALIPIA .... JAMANI KAMA KUNA JINSI YA KUJIKWAMUA - COME UP WITH A WAY - NADHANI WATZ WENGI WANAHITAJI KUONYESHWA NJIA - KWANI TUMECHOKAAAAAAAAAAAAA - HATA TUKIIBWAGA CCM, WHO CAN TELL OR BELIEVE THAT CUF, CHADEMA OR WHATEVER ITALETA MABADILIKO JAMANI????? KAMA NI KUOMBA... TUMEOMBA SANA .... ILA WE STILL HAVE HOPES THAT ONE DAY GOD WILL SHOW US THE WAY THROUGH SOMEONE WITH A HEART OF GOD.

Great points. I am somehow colour blind but this fond is far away from what my eyes can stand. Plse next time go to common font colours, ok?
 
Heshima mbele,
Lakini mabadiliko ya ukweli huanzia ndani kwetu,rohoni mwetu,nadhani tukidadicate muda na akili,na kila mtu aplay part yake katika kuleta mabadiliko ya ukweli,whether ni kwa kugombea uongozi,kuchagua kiongozi aliye bora,ku-act against immorals-be ufisadi,rushwa etc,na pia kusali na kufunga lazima tutafanikiwa
 
Heshima mbele,
Lakini mabadiliko ya ukweli huanzia ndani kwetu,rohoni mwetu,nadhani tukidadicate muda na akili,na kila mtu aplay part yake katika kuleta mabadiliko ya ukweli,whether ni kwa kugombea uongozi,kuchagua kiongozi aliye bora,ku-act against immorals-be ufisadi,rushwa etc,na pia kusali na kufunga lazima tutafanikiwa

sure!
kwa kuongezea tu,TUSIWE WATU WA NADHARIA!TUWE WATU WA UTEKELEZAJI
 
1. Kwanza, Watanzania wengi sana ni Mafisadi kwa namna yao.
2. Pili, Watanzania wengi sana wameridhika na dhiki, kero, shida na umasikini na wanaita ni hali halisi!
3. Tatu, Watanzania wengi wamenogewa na kutegemea misaada na kupewa.
4. Nne, Rushwa na Takrima si uhalifu tena, bali ni haki na halali ili mtu apate haki yake au atimiliziwwe mahitaji.
5. Tano, Sheria, Kanuni na Taratibu zipo, tena nyingi sana, lakini kila mtu anajifanyia analotaka bila kujali matokeo ya yeye kukiuka Sheria au kanuni na wale walio na majukumu na wajibu wa kuhakikisha kuwa Sheria zinafuatwa na zinafanya kazi inavyopaswa, hawafanyi kazi zao na wanafumbia macho kwa makusudi ukiukwaji na kuvunjwa kwa sheria.
6. Sita, hakuna Uongozi na Viongozi. Kila mtu na lwake na Serikali iko Likizo.

Haya mambo sita uliyotaja unaweza kuyaweka kwa maneno machache
Watanzania wengi wanapenda kuishi na kupata mahitaji yao kwa kutumia 'BONGO' na haraka haraka bila kutoa jasho. Ndio hata wakulima ni mafisadi, kama huamini wakopeshe pesa uone kama zitarudi zote au kwa wakati bila kupewa visingizio, Au mpe mjomba wako pesa akujengee nyumba uone kama naye hajajenga ya kwake pale kijijini.

Mchungaji, tukitaka tatizo hili liishe tujue chanzo chake ni nini. Je, ni matokeo ya siasa za ujamaa, je ni 'genetic' make up ya waafrika. Au ni conspiracy ya watu weupe (wazungu) walituelekeza huku na hadi leo wanaleeta misaada kutusababisha tuendelee kuwa tegemezi???. Au ndivyo waafrika tulivyoumbwa na mungu?

Sasa, tufanye nini...

Natabiri kuwa tabia ya kifisadi ya watanzania haitaisha kwa kubadilisha chama tawala... kwa kuwataja waliokuwa mafisadi...
wala tatizo la kuomba omba na kuridhika na umasikini halitaisha katika miaka 200 ijayo.
Hata serikali iige mfano wa nchi za Asia zinazoendelea kama China na India hazitegemei tena misaada au kuombaomba!!

Sasa litaishaje tatizo hili...

Mawazo haya tumejengwa nayo katika elimu yetu. Tunafundishwa 5+5=10 n.k tena tunpass mitihani kwa maksi nzuri sana, lakini hatufundishwi maadili. Kwa maana walimu wenyewe hawana maadili ya kutosha, halafu inakuwa vicious cycle. Wazazi wasio na maadili, viongozi, wachungaji, wanasisasa,wanafunzi, wafanyabiashara wasio na maadili n.k.

Mfano wa maadili ni kuwafanya watoto wajitegemee mapema. Wewe mtoto handi shule mpaka umpe 500 au 1000. Je, huoni kwa kukubali kumpa mtoto kitu ndio aende shule, huoni kama hii ni rushwa. Kwani mtoto huyu si anaenda shule kwa faida yake? Kwa nini aseme usiponipa hiki siendi shule ? Kwanini usimfungie juice na mkate/muhogo akale shule. Pesa anabeba ya nini? Kwa nini tusichangie usafiri wa pamoja wa watoto tuwaepusha na lugha chafu ya kwenye daladala?

Kwenye nchi za wazungu mtoto ukimpa biscuit kama hakujui hapokei. Tena watoto wengi hawapewi pesa mkononi hadi wafikie umri fulani. Katika nchi nyngi zilizoendelelea ukimpa mtu bia ya bure, atakurudishia bia ya bure kama hajaikataa ya kwako!! Ni mfano tu!!! Je sisi, wangapi tunapenda vya bure ...(99%).

Nasema ufisadi utaisha iwapo mojawapo ya yafuatayo yatatokea;
  1. :Watu wote wakubali tatizo, na kuanzisha program za kurekebisha hili tatizo kind of braiwashing saikolojia za kibongo bongo na za kupenda vya haraka haraka au kuomba omba au wenyewe wanasema tumia BONGO.
  2. :Itokee dhoruba (Mungu epusha) kizazi hiki chote kipotee. Halafu wabaki watoto tu, na wakuzwe na maadili mapya.
  3. :Tubadilishe mfumo wa elimu. Utuandae kuwa waadilifu. Tupende kujitegemea, tusiopenda kuiba, tunaopenda wenzetu na kujaliana.
  4. Tuanzoshe NGO ya kusimamia maadili ya watu, hasa watoto walioko mashuleni hadi vyuo. Baadae jukumu hili liwe la serikali.


Sisi ndio tulivyo, bisha usibishe... ufisadi kila mTanzania anao kwa namna yake
 
Nashindwa lakusema sababu mmeongea meengi ambayo nilitaka kuyasema mimi nikuongezea tuu kwa sasa!
Yaani tena mtu mzima anasimama na speach zake kusema nilienda malekani nimeahidiwa kupewa net za mbu, elfu hamsini nimepiga mahesabu ya gharama zake ni kama sh milion mia tano, hebu fikilia msafala ya mkuu huyo na timu yake halafu upewe net ya milion 500, mhh inaitaji uingie chuo kuona hiloo kuwa ni hasara kwa nchi, jamani hii nchi inaenda wapi??
Halafu unakaa kutuambia barabara zoote zitajengwa kwa msaada inamaana wewe hujiwezi kabisaa.
Kwa nini tusiwenamipango yetu tena kwa bajeti ya kutokutegemea saaana. Hii hali ya kuombaomba mpaka lini tanzania. Hakuna mtu ambaye anaweza kuonea huruma nchi yetu. Halafu upinzani hamjajiandaa vyema kuchukua nchi hii.
Mchungaji nashukuru kwa kunisemea ila nasikitika kwakunitonosha kidonda changu cha mda mrefu saana.
 
nashindwa lakusema sababu mmeongea meengi ambayo nilitaka kuyasema mimi nikuongezea tuu kwa sasa!
Yaani tena mtu mzima anasimama na speach zake kusema nilienda malekani nimeahidiwa kupewa net za mbu, elfu hamsini nimepiga mahesabu ya gharama zake ni kama sh milion mia tano, hebu fikilia msafala ya mkuu huyo na timu yake halafu upewe net ya milion 500, mhh inaitaji uingie chuo kuona hiloo kuwa ni hasara kwa nchi, jamani hii nchi inaenda wapi??
Halafu unakaa kutuambia barabara zoote zitajengwa kwa msaada inamaana wewe hujiwezi kabisaa.
Kwa nini tusiwenamipango yetu tena kwa bajeti ya kutokutegemea saaana. Hii hali ya kuombaomba mpaka lini tanzania. Hakuna mtu ambaye anaweza kuonea huruma nchi yetu. Halafu upinzani hamjajiandaa vyema kuchukua nchi hii.
Mchungaji nashukuru kwa kunisemea ila nasikitika kwakunitonosha kidonda changu cha mda mrefu saana.

karibu!
 
mkumbuke ya kwamba,
tukitaka mabadiliko twendeni tukapige kura na kufanya mabadiliko kuanzia kwenye serikali za mitaa(chaguzi ndogo ndogo).kinyume na hilo,tunapoteza muda kujadili mambo bila utekelezaji.

Bado safari ni ndefu saana hata ukijiandikisha kupiga kura, chukulia tu uchaguzi serikali za mitaa dodoma peke yake vitongoji 2,235 hawana wapinzani na wanapita bila kupingwa, sasa Mikoa yote ya TZ unategemea nini?? unaweza kusema bora turudi chama kimoja.
 
mkumbuke ya kwamba,
tukitaka mabadiliko twendeni tukapige kura na kufanya mabadiliko kuanzia kwenye serikali za mitaa(chaguzi ndogo ndogo).kinyume na hilo,tunapoteza muda kujadili mambo bila utekelezaji.
Ni vizuri tujadili mkuu maana "tutachagua wale waleee" kuwa CUF au Chadema haina maana kwamba hawana vitabia vinavyoongelewa hapa..wote hasa wasomi wanatabia hii sana hapa bongo..wajadiliwe sana...
 
wananchi wanakubali kuburuzwa na Serikali na vitisho kama vya Dawasco au Tanesco.

TUKIJARIBU KUEXPRESS MAWAZO YETU - HATA KWA MAANDAMANO YA AMANI - FFU N VIRUNGU, GAS ZA MACHOZI, FARASI, MBWA WAKO NJIANI KUTUZUIA - IKIWA NA MAANA HATUTAKIWI KUSEMA CHOCHOTE ......... tufanyeje??????

PLEASE REV. KISHOKA - IF YOU HAVE AN IDEA WHAT WE ARE SUPPOSED TO DO OR ACT - SHOW THE WAY .................... .

Mhubiri,

Nafasi ya kwanza ya wewe na jirani zako kuleta mabadiliko ni Jumapili hii.Wataarifu ndugu na jamaa zako waliochoka mazoea na kudhihakiwa wapige kura kuwaondoa madiwani waliokuwa wakiongoza kata zenu kwa miaka mitano iliyopita.

Chagua mtu mwingine bila hofu eti kama yeye ni CUF au CHADEMA atawezaje.

Mtakapotumia nafasi hii kuwaondoa kina Kimbisa, basi mtaanza kusikilizwa taratibu na ikifika mwakani, pigieni kura mwakilishi wa Jimbo kutoka Chama kingine na si chama kile kile kilichowakilisha jimbo lenu miak mitano iliyopita!

Msisite kuandamana na msiogope FFU. Fanyeni maandamano kwa amani, fanyeni migomo kwa amani, ilazimisheni Serikali itutumikie na itunyenyekee maana Serikali ni mali yetu si ya mtu mmoja au chama kimoja!
 
mwalimu aneiba chaki za shule kwenda kufundishia tiusheni,
nesi anaeiba sindano kuzitumia nyumbani kwake kutibu wagonjwa nyumbani kwa malipo,
secretary[katibu muhtasi]anaeiba stationery za ofisi akazitumia kwa matumizi binafsi,
bosi anaeondoka ofisini muda wa kazi na kufanya shughuli zake binafsi,
dereva anaetumia gari la ofisi kwa matumizi yake binafsi,
mwanafunzi anaetumia mbinu zisizo halali kufaulu mtihani,
dereva wa daladala anaekatisha njia,
mfanyakazi aliyeacha kazi yake nakuja humu jf kujibu ktk muda wa kazi
nk, hawa si mafisadi?

Mazoea haya hujenga tabia ambayo mwishowe huonekana ni halali. Hili ndilo ninalozungumzia la watu kukiuka kanuni na kuvunja sheria. Ni watu kukosa Uadilifu.

Lakini Tumaini yeye anasema focus yetu iwe kwa wale 10% tuu ambao ni wasomi ambao si waadilifu. Je hawa 90% ambao nao wana ufisadi wa namna yao na kukosa uadilifu tuwafanyie nini ikiwa wao wameshafanya wanayoyafanya kuwa ni mazoea na ni halali mithili ya Robin Hood?

Ufisadi ni Uhalifu ni Uhujumu wa nchi na maendeleo yake!
 




Nasema ufisadi utaisha iwapo mojawapo ya yafuatayo yatatokea;

  1. :Watu wote wakubali tatizo, na kuanzisha program za kurekebisha hili tatizo kind of braiwashing saikolojia za kibongo bongo na za kupenda vya haraka haraka au kuomba omba au wenyewe wanasema tumia BONGO.
  2. :Itokee dhoruba (Mungu epusha) kizazi hiki chote kipotee. Halafu wabaki watoto tu, na wakuzwe na maadili mapya.
  3. :Tubadilishe mfumo wa elimu. Utuandae kuwa waadilifu. Tupende kujitegemea, tusiopenda kuiba, tunaopenda wenzetu na kujaliana.
  4. Tuanzoshe NGO ya kusimamia maadili ya watu, hasa watoto walioko mashuleni hadi vyuo. Baadae jukumu hili liwe la serikali.



Sisi ndio tulivyo, bisha usibishe... ufisadi kila mTanzania anao kwa namna yake

Hilo naliogopa sana kwa sababu NGO sasa hivi ndizo bakuli za mzee Matonya na tiketi za kuchukua chako mapema. Labda ile katika mfumo wa Club ya kujitolea. Ila hiyo utawapata watu wachache sana kama hutabaki peke yako!
 
mwalimu aneiba chaki za shule kwenda kufundishia tiusheni,
nesi anaeiba sindano kuzitumia nyumbani kwake kutibu wagonjwa nyumbani kwa malipo,
secretary[katibu muhtasi]anaeiba stationery za ofisi akazitumia kwa matumizi binafsi,
bosi anaeondoka ofisini muda wa kazi na kufanya shughuli zake binafsi,
dereva anaetumia gari la ofisi kwa matumizi yake binafsi,
mwanafunzi anaetumia mbinu zisizo halali kufaulu mtihani,
dereva wa daladala anaekatisha njia,
mfanyakazi aliyeacha kazi yake nakuja humu jf kujibu ktk muda wa kazi
nk, hawa si mafisadi?

Ni kweli huu wote ni ufisadi,lakini ni lazima tujiulize chanzo chake hasa ni nini? Mimi naweza kusema huu ni ufisadi Dagaa,Lakini chanzo cha huu ni ufisadi Nyangumi.Ukitaka kutatatua tatizo lazima ukate mzizi.Hawa mafisadi wadogo mara nyingi wamelazimika kufanya hivo kwa kuwa viongozi wakuu wa nchi wamewa-let down.Kwa mfano Ufisadi uliofanyika IPTL ,leo hii unaathiri zaidi waTZ walalahoi ambao hawana kitu na ili kupunguza ukali wa maisha mtu anaamua liwalo na liwe .Na kusema ukweli watu wamekata tamaa ya maisha kwa kuwa wanaona wale wa juu hawana msaada zaidi ya kuwaumiza.
Kama tukiweza kuun'goa huu ufisadi mkubwa kwa viongozi ,huduma nyingi kwa mwananchi wa kawaida zitaboreka,na hatimaye hivi viufisadi vingine vitatokomea.Wito kwa mliopewa dhaman kubwa ya wananchi wa Tanzania ,chonde chonde, haki huinua taifa.Oneni kaaibu basi hata kidogo muache kujifikiria wenyewe.
 
Mhubiri,

Nafasi ya kwanza ya wewe na jirani zako kuleta mabadiliko ni Jumapili hii.Wataarifu ndugu na jamaa zako waliochoka mazoea na kudhihakiwa wapige kura kuwaondoa madiwani waliokuwa wakiongoza kata zenu kwa miaka mitano iliyopita.

Chagua mtu mwingine bila hofu eti kama yeye ni CUF au CHADEMA atawezaje.

Mtakapotumia nafasi hii kuwaondoa kina Kimbisa, basi mtaanza kusikilizwa taratibu na ikifika mwakani, pigieni kura mwakilishi wa Jimbo kutoka Chama kingine na si chama kile kile kilichowakilisha jimbo lenu miak mitano iliyopita!

Msisite kuandamana na msiogope FFU. Fanyeni maandamano kwa amani, fanyeni migomo kwa amani, ilazimisheni Serikali itutumikie na itunyenyekee maana Serikali ni mali yetu si ya mtu mmoja au chama kimoja!
nimeongea na mama yangu nikamuuliza umejiandikisha kupiga kura, jibu alilonipa lilinisikitisha sana
alinijibu, hajajiandikisha maana yake haoni tofauti yeyote ile na rafiki zake mmoja wanafanya nae ofisi moja na mwingine anafanya ofisi ya jirani wanakanijibu vivyo hivyo...
nikawaambia nyinyi kila siku kulalamika je mnategemea haya mabadiliko yatoke mbinguni? nendeni mkajiandikishe mmpigie upinzani mkiwa mnawabadilisha ndio watafanya kazi.
kitu nilichogundua asilimia kubwa ya wafanya kazi TZ hawajishuhulishi na kupiga kura hata kidogo
 
Ni kweli huu wote ni ufisadi,lakini ni lazima tujiulize chanzo chake hasa ni nini? Mimi naweza kusema huu ni ufisadi Dagaa,Lakini chanzo cha huu ni ufisadi Nyangumi.Ukitaka kutatatua tatizo lazima ukate mzizi.Hawa mafisadi wadogo mara nyingi wamelazimika kufanya hivo kwa kuwa viongozi wakuu wa nchi wamewa-let down.Kwa mfano Ufisadi uliofanyika IPTL ,leo hii unaathiri zaidi waTZ walalahoi ambao hawana kitu na ili kupunguza ukali wa maisha mtu anaamua liwalo na liwe .Na kusema ukweli watu wamekata tamaa ya maisha kwa kuwa wanaona wale wa juu hawana msaada zaidi ya kuwaumiza.
Kama tukiweza kuun'goa huu ufisadi mkubwa kwa viongozi ,huduma nyingi kwa mwananchi wa kawaida zitaboreka,na hatimaye hivi viufisadi vingine vitatokomea.Wito kwa mliopewa dhaman kubwa ya wananchi wa Tanzania ,chonde chonde, haki huinua taifa.Oneni kaaibu basi hata kidogo muache kujifikiria wenyewe.

Binti Sayuni,

Dagaa hulisha Nyangumi mpaka Nyangumi akanenepa.

Dagaa hulisha Papa, mpaka Papa akanenepa.

Hivyo Papa na Nyangumi wakimeza wale dagaa waliobobea ufisadi wa namna yao, then ile metabolisim na chemical composition itokanayo na Lishe ya Dagaa itanufaisha Papa na Nyangumi ambao nao hamu ya Ufisadi itaongezeka!
 
Binti Sayuni,

Dagaa hulisha Nyangumi mpaka Nyangumi akanenepa.

Dagaa hulisha Papa, mpaka Papa akanenepa.

Hivyo Papa na Nyangumi wakimeza wale dagaa waliobobea ufisadi wa namna yao, then ile metabolisim na chemical composition itokanayo na Lishe ya Dagaa itanufaisha Papa na Nyangumi ambao nao hamu ya Ufisadi itaongezeka!

Dah ni kweli,lakini sijakupata vizuri.Ninachotaka nipe idea angalau jinsi ya kupunguza huu ufisadi ,because we are kooking for solutions.Do you mean I must start with myself first? Ninachoona hapo hakuna anayeweza kumuwajibisha mwenzie. bosi atamuonea haya Mfagizi kumwambia usitoroke kazini,sababu huwa anamtuma wakati mwingine sokoni kununua vitu vya nyumbani.Hebu nielezee vizuri tafadhali.
 
nimeongea na mama yangu nikamuuliza umejiandikisha kupiga kura, jibu alilonipa lilinisikitisha sana
alinijibu, hajajiandikisha maana yake haoni tofauti yeyote ile na rafiki zake mmoja wanafanya nae ofisi moja na mwingine anafanya ofisi ya jirani wanakanijibu vivyo hivyo...
nikawaambia nyinyi kila siku kulalamika je mnategemea haya mabadiliko yatoke mbinguni? nendeni mkajiandikishe mmpigie upinzani mkiwa mnawabadilisha ndio watafanya kazi.
kitu nilichogundua asilimia kubwa ya wafanya kazi TZ hawajishuhulishi na kupiga kura hata kidogo

Sitaki kujazama sana kwenye takwimu kwani sizijui, ila juu juu nikuwa ukichukulia CCM wanachama wake ni million 5, chadema sema milioni 3/4 waliobaki tuite million 2, unaweza kuona kuwa ambao wanajua wajibu wa vyama vya siasa ni watu milioni 10 nchini kwenye watu milioni 40. Sasa hawa milioni 30 wamelala hawajui kinachoendelea hapa nchini, hawajiandikishi na wala hawajishughurishi kupiga kura. Hivyo hivyo na kwenye maendeleo wako hivyo hivyo mijini na vijijini.
 
Back
Top Bottom