Hoho Fc !!!!!Huyu dogo anaujua sana,na akiendelea hivi basi kule Hoho fc malalamiko yatazidi sana sana sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
So hoja yako ni ipi hapo.Wachezaji wanaotokea kusini mwa jangwa la Sahara toka wadogo wanakuwa na dream ya kucheza ligi kuu Afrika ya kusini...Luis kakaa benchi mpaka kakimbia bondeni na huyo Chama hata trial hajawahi kufanya...wa kawaida sana sio jipya
Una roho ngumu sanaWachezaji wanaotokea kusini mwa jangwa la Sahara toka wadogo wanakuwa na dream ya kucheza ligi kuu Afrika ya kusini...Luis kakaa benchi mpaka kakimbia bondeni na huyo Chama hata trial hajawahi kufanya...wa kawaida sana sio jipya
Yaani wewe ni hoho kabsa! Mwili mkuuubwa content kisoda!Wachezaji wanaotokea kusini mwa jangwa la Sahara toka wadogo wanakuwa na dream ya kucheza ligi kuu Afrika ya kusini...Luis kakaa benchi mpaka kakimbia bondeni na huyo Chama hata trial hajawahi kufanya...wa kawaida sana sio jipya
Game ya round ya kwanza walicheza na Police TZ waka draw kama sikosei. Kuna dada mmoja alikuwa shabiki wa Police TZ alikuwa anahojiwa kuwa unaionaje Yanga.Hili jipya?