fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 6,009
- 7,956
Nasogelea miaka 65 sasa,ukiachia elimu ya darasani nimejifunza ufundi wa vitu vifuatavyo:
1.Ni fundi friji au friza ambazo ni smart.Natengeneza bila shida yoyote
2.Fundi wa majiko ya gesi na ya umeme pia natengeneza bila shida
3.Fundi wa redio ai music system,natengeneza bila shida.Majirani zangu wote wanajua na wananiletea au kuniita makwao kuwatengenezea.Inapotokea spea zinatakiwa nawaelekeza kununua wakileta nawatengenezea na siwachaji pesa nyingi maana natengenezea hobby tu.
Yupo mama mmoja alinunua freezer yake 5 millions,siku moja ghafla ikazimika akijiandaa kufanya sherehe ya kupokea mahari,aisee aliliano,akatafuta mafundi,kila wakija wanafeli.Basi akawa anaongea na mke wangu,ndipo akamwambia anapigie.Akanipigie,nikaenda na tool box yanguNikaiangalia kwenye panel ikawa imetoa error ecf.
Nikamwambia atafute blower,akakodi blower na nikafungua lower back panel.Nilikuta vumbi ya ajabu ndipo nikatumia blower kwa uangalifu mkubwa maana ina condenser ya aluminium.Nilitumia saa 1 nikaisafisha vizuri sana,nikaifunga.
Nikaiwasha nikamsetia panel yake 4 na 18 na ikaanza kufanya kazi na nikaisogeza mbali na ukuta ili iweze kupumua vizuri.Hakuamini macho yako,friji iliyowashinda mafundi mie nikaitengeza bila shida,akaniuliza shem nikulipe ngapi,nilimchaji 50,000
1.Ni fundi friji au friza ambazo ni smart.Natengeneza bila shida yoyote
2.Fundi wa majiko ya gesi na ya umeme pia natengeneza bila shida
3.Fundi wa redio ai music system,natengeneza bila shida.Majirani zangu wote wanajua na wananiletea au kuniita makwao kuwatengenezea.Inapotokea spea zinatakiwa nawaelekeza kununua wakileta nawatengenezea na siwachaji pesa nyingi maana natengenezea hobby tu.
Yupo mama mmoja alinunua freezer yake 5 millions,siku moja ghafla ikazimika akijiandaa kufanya sherehe ya kupokea mahari,aisee aliliano,akatafuta mafundi,kila wakija wanafeli.Basi akawa anaongea na mke wangu,ndipo akamwambia anapigie.Akanipigie,nikaenda na tool box yanguNikaiangalia kwenye panel ikawa imetoa error ecf.
Nikamwambia atafute blower,akakodi blower na nikafungua lower back panel.Nilikuta vumbi ya ajabu ndipo nikatumia blower kwa uangalifu mkubwa maana ina condenser ya aluminium.Nilitumia saa 1 nikaisafisha vizuri sana,nikaifunga.
Nikaiwasha nikamsetia panel yake 4 na 18 na ikaanza kufanya kazi na nikaisogeza mbali na ukuta ili iweze kupumua vizuri.Hakuamini macho yako,friji iliyowashinda mafundi mie nikaitengeza bila shida,akaniuliza shem nikulipe ngapi,nilimchaji 50,000