Sabayi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 2,310
- 991
Mimi hata nsipofunga gate waje tu watakutana nao. Wako 5 wa kufa mtu. Hata mbwa wa jirani akisogea tu kesho yake msiba! Lazima waue. Wakiwa kazini hawana masihara hata kidogo. Nilileta Rottweiler toka Kenya alikuwa na 1 month nililipia 50,000kshs. Wacha usumbufu wa border!
Tatizo polisi wetu wanawatrain kuwa loyal kwao. So ikitokea wamepata order wanamwita wakati wewe haupo wanasepa naye. Mimi nafikiri wangeweka darasa kila mtu anaenda na mbwa wake halafu unafundishwa wewe namna ya kumfunza mbwa wako! Hii ingesaidia kuweka siri kati ya mbwa na mmiliki wake. Otherwise its a good business.
Mkuu wanaweza kumchukua hata kama hawajui?