Jay10
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 711
- 533
Ninajiandaa kufanya mradi wa kuku wa kienyeji/chotara kibiashara.... Nipo moshi..... Nataman kujua juu ya masoko na usafirishaji, kwa mwenye zoefu/kujua naomba masaada....... Plz..
Pia Naomba kwa mwenye mchanganuo wa biashara ya Duka la rejareja anisaidie ni-share vitu vchache...... Asante
Pia Naomba kwa mwenye mchanganuo wa biashara ya Duka la rejareja anisaidie ni-share vitu vchache...... Asante