Ufugaji(kukodi eneo)

Mkeshahoi

JF-Expert Member
Jan 4, 2009
2,469
281
Wakuu,

Ninaishi nyumba ya mfukoni (kupanga)-DSM,

Mwenye nyumba wangu ana eneo kubwa ambalo binafsi naona halitumii ipasavyo. Nafikiria kuteta nae anipe mita chache za mraba ili nianzishe mradi mdogo wa ufugaji kuku kwa itakuwa ni jirani na ninapokaa na usimamizi utakuwa rahisi na soko tarajiwa litakuwa jirani. Hii ni katika malengo ya kuwa na eneo kubwa zaidi, la kwangu mwenyewe ili niwe mkulima wa kisasa siku za usoni.

Kuna yeyote mwenye usoefu na kuwekeza katika mfumo huu?!

Msaada wenu ni muhimu sana..

Ahsante na nawasilisha.
 
Wakuu,

Ninaishi nyumba ya mfukoni (kupanga)-DSM,

Mwenye nyumba wangu ana eneo kubwa ambalo binafsi naona halitumii ipasavyo. Nafikiria kuteta nae anipe mita chache za mraba ili nianzishe mradi mdogo wa ufugaji kuku kwa itakuwa ni jirani na ninapokaa na usimamizi utakuwa rahisi na soko tarajiwa litakuwa jirani. Hii ni katika malengo ya kuwa na eneo kubwa zaidi, la kwangu mwenyewe ili niwe mkulima wa kisasa siku za usoni.

Kuna yeyote mwenye usoefu na kuwekeza katika mfumo huu?!

Msaada wenu ni muhimu sana..

Ahsante na nawasilisha.

kunatopic nyingi sana juu hapo knye hili jukwaa kuhusu ufugaji ipitie kila kitu kipo hapo
 
kunatopic ndrgu sana juu hapo knye hili jukwaa kuhusu ufugaji ipitie kila kitu kipo hapo

Nimeshazipitia na bado naendelea comments moja baada ya nyingie kwani zipo nyingi tu mkuu... mie nasaka mawazo kwa yeyote aloanza kitu hii akiwa katk eneo la kukodi na si lake mwenyewe... changamoto zipi za kukabili..!!

nitashukuru kwa mchango mawazo !!
 
nilidhani unakodi eneo la mbali, kumbe hapo hapo dirishani ulipopanga? DONT! ni ushauri wa bure.
 
nilidhani unakodi eneo la mbali, kumbe hapo hapo dirishani ulipopanga? DONT! ni ushauri wa bure.
unaweza kunishirikisha uzoefu wako katika hali kama hii..?! najaribu kukwepa suala la umbali (kati yangu na mradi) kwa maana ya kupata urahisi wa kusimamia, kuhudmia na wateja wa mwanzo wapo jirani vilevile...!!
 
unaweza kunishirikisha uzoefu wako katika hali kama hii..?! najaribu kukwepa suala la umbali (kati yangu na mradi) kwa maana ya kupata urahisi wa kusimamia, kuhudmia na wateja wa mwanzo wapo jirani vilevile...!!

PLEASEEE mkeshahoi..umeambiwa na wakubwa zako ACHAAAA... mie nawajua wenye nyumba wa dasalamu...ukianza kuingiza mia tuu akajua...kodi inapanda maradufu au hata mara tatu... mara utaambiwa harufu ya kuku inatukera hatulali vizuri ukimaliza kuku hawa bomoa banda lako tunataka kujenga mtoto wangu anarudi nyumbani...mara unaskia na yeye anafuga kuku kisa kaona wewe unapata sanaaa.. mara unapandishiwa bili ya umeme mara maji...yani balaa juu ya kerooo na matatizo juu ya problems...ACHAAAAA. PLEASEE
 
pleaseee mkeshahoi..umeambiwa na wakubwa zako achaaaa... Mie nawajua wenye nyumba wa dasalamu...ukianza kuingiza mia tuu akajua...kodi inapanda maradufu au hata mara tatu... Mara utaambiwa harufu ya kuku inatukera hatulali vizuri ukimaliza kuku hawa bomoa banda lako tunataka kujenga mtoto wangu anarudi nyumbani...mara unaskia na yeye anafuga kuku kisa kaona wewe unapata sanaaa.. Mara unapandishiwa bili ya umeme mara maji...yani balaa juu ya kerooo na matatizo juu ya problems...achaaaaa. Pleasee

sina cha kuongezea
 
Usithubutu kufuga kwenye nyumba ya kupanga,utapewa notice ya kuhama jipange taratibu utafute eneo lako hata kama 50 km from city center
 
PLEASEEE mkeshahoi..umeambiwa na wakubwa zako ACHAAAA... mie nawajua wenye nyumba wa dasalamu...ukianza kuingiza mia tuu akajua...kodi inapanda maradufu au hata mara tatu... mara utaambiwa harufu ya kuku inatukera hatulali vizuri ukimaliza kuku hawa bomoa banda lako tunataka kujenga mtoto wangu anarudi nyumbani...mara unaskia na yeye anafuga kuku kisa kaona wewe unapata sanaaa.. mara unapandishiwa bili ya umeme mara maji...yani balaa juu ya kerooo na matatizo juu ya problems...ACHAAAAA. PLEASEE
Ahsante Mkuu... Nimekusoma..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom