Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Wakuu,
Ninaishi nyumba ya mfukoni (kupanga)-DSM,
Mwenye nyumba wangu ana eneo kubwa ambalo binafsi naona halitumii ipasavyo. Nafikiria kuteta nae anipe mita chache za mraba ili nianzishe mradi mdogo wa ufugaji kuku kwa itakuwa ni jirani na ninapokaa na usimamizi utakuwa rahisi na soko tarajiwa litakuwa jirani. Hii ni katika malengo ya kuwa na eneo kubwa zaidi, la kwangu mwenyewe ili niwe mkulima wa kisasa siku za usoni.
Kuna yeyote mwenye usoefu na kuwekeza katika mfumo huu?!
Msaada wenu ni muhimu sana..
Ahsante na nawasilisha.
Ninaishi nyumba ya mfukoni (kupanga)-DSM,
Mwenye nyumba wangu ana eneo kubwa ambalo binafsi naona halitumii ipasavyo. Nafikiria kuteta nae anipe mita chache za mraba ili nianzishe mradi mdogo wa ufugaji kuku kwa itakuwa ni jirani na ninapokaa na usimamizi utakuwa rahisi na soko tarajiwa litakuwa jirani. Hii ni katika malengo ya kuwa na eneo kubwa zaidi, la kwangu mwenyewe ili niwe mkulima wa kisasa siku za usoni.
Kuna yeyote mwenye usoefu na kuwekeza katika mfumo huu?!
Msaada wenu ni muhimu sana..
Ahsante na nawasilisha.