Ni kweli, Hiki kipindi mfano cha jana wajumbe walikuwa wanatoka nje ya mada husika "VICHOCHEO VYA UVUNJIFU WA AMANI VINADHIBITIWA"
Wengine wananza maelezo marefu. Haya Huyo Police yeye anajiona kuwa anamjua sana Marehemu Mtikila; anatoa salamu za Rambirambi kwa familiya. !!!!! pale siyo sehemu yake alitakiwa kwenda msibani akatoe salamu za rambirambi. Changia mada iliyopo mbele yako.
Mwingine anaelezea kuwa iringa watu wanakodisha vijana kufanya fujo. Unatakiwa sema vinadhibitiwa na kama havidhibitiwi nini kifanyike na nani afanye ili kuweka hali ya amani tunapoelekea Uchaguzi.
Ndio maana Mtangazaji alikuwa akiona mtu anatoka nje ya mada au anatoa mifano ambayo haina ushahidi ndipo alikuwa anaingilila kati luweka sawa au kupokea kipaza sauti.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!