Nahsi kma vile anafagilia kibarua hv...yan haiwezekani mtu anatoa hoja kisha yeye anamkatisha,unajua mtu anapotoa point zake then wewe ukamkatisha kinachofuatia ni kwmb yule mtoa hoja huwa anachanganyikiwa hv yan unamtibua.Yeye inapofikia mtoa hoja ametoa vielelezo kukazia hoja ikiwa ni pamoja na kutajwa mtu au chama,huyu dada huwa mkali sasa sijui malumbano gani yasiyoruhusu hata kutoa mifano...me naona tumsamehe tu ila uzuri ni kwamba kwa sasa wa kumdanganya hayupo ni mabadiliko tuu japo yeye hayataki..
Japo sijakiangalia hiki kipindi lakin kwa kusoma comments za watu humu ndani nimeshajua kwann Ufuo Saro analaumiwa. Ukawa bwana!
Unawapenda sana Ukawa !
Nimekuwa nikifuatilia kipindi cha malumbano ya hoja kwa muda mrefu sasa. Toka Ufoo Saro awe miongoni mwa waongozaji kipindi kimepwaya. Mtangazaji huyu amekuwa akiingilia au kukatisha hoja za watu pasipo kuwa na sababu za msingi. Kuna wakati anaonekana ni mwenye jazba sana.
Ushauri wangu: Ufoo ajitahidi kudhibiti hisia au kuondoa uoga ili kipindi kiwe na mantiki nzuri zaidi na kivutie badala ya kupoteza watazamaji.
Hata mimi najiuliza kulikoni?Kazidi kiherehere hadi mzee polisi mstaafu kamuambia "Ukiona mtu kavaa suti kapendeza ujue ndani kuna nguo nyingine".
Kwanza hana uelewa mpana wa mambo na hajui watu wana namna tofauti ya kujenga hoja.Anataka mtu aende straight kwenye hoja.Sasa hapo kulumbana kuna maana gani?halafu kipindi gani kina sura zile zile hata mtu hajaongea unaweza ku predict msimamo wake.Na hata seats wana kaa zile zile .Mtu unatamani meza kuu ndo waongee tu make wenyewe wanakuwa na uelewa.kunakuwa na wachangiaji wachache wanaokuwa wamejiandaa wengine wanarudia points zile zile Za waliotangulia .
Nimekuwa nikifuatilia kipindi cha malumbano ya hoja kwa muda mrefu sasa. Toka Ufoo Saro awe miongoni mwa waongozaji kipindi kimepwaya. Mtangazaji huyu amekuwa akiingilia au kukatisha hoja za watu pasipo kuwa na sababu za msingi. Kuna wakati anaonekana ni mwenye jazba sana.
Ushauri wangu: Ufoo ajitahidi kudhibiti hisia au kuondoa uoga ili kipindi kiwe na mantiki nzuri zaidi na kivutie badala ya kupoteza watazamaji.
Nawapenda ndio ila ni hopeless kabisa.