Ufoo Saro, kwanini uteseke na kuumia tu moyoni?

Ufoo Saro, kwanini uteseke na kuumia tu moyoni?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,016
Reaction score
16,811
Huyu dada kadri siku zinavyoenda nashindwa kumuelewa kwani tokea Lowassa ahamie CHADEMA/UKAWA kila anapokuwa anatangaza habari inayohusu tu CHADEMA/UKAWA huwa anakuwa na furaha ambayo hata huwa anashindwa kuificha, lakini Ufo Saro huyu huyu akiwa anatangaza tu taarifa ya kuhusu chama kizuri, cha Mungu, kitakatifu, bora na chenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania cha CCM huyu dada tena bila hata ya aibu huwa anakunja sana sura yake na hata " tonation " yake huwa ni ya kukasirika na ni kama analazimishwa tu kusoma taarifa za CCM.

Kwenu uongozi wa ITV hebu lifuatilieni hili na mlifanyie kazi vinginevyo huyu binti atawaharibieni kabisa kituo chenu na hatimaye tutajua kuwa pengine anatumika. Halafu na nyie CHADEMA
/UKAWA, kwanini msianzishe tu vituo vyenu vya habari ili mtuondolee hawa waandishi wenye kuacha maadili ya kazi zao na kuweka ushabiki? Kama mtakuwa hamna hela ya mtaji wa kuanzisha hivyo vituo tafadhalini njooni CCM na tutawapeni kama siyo kuwakopesheni na mtaturudishia taratibu tu.

Ufo Saro badilika dada au kama vipi chepuka basi huko CHADEMA/UKAWA ili tujue moja.

Tuvumiliane tu kwa sasa.
 
huyu dada kadri siku zinavyoenda nashindwa kumuelewa kwani tokea " kubwa la makapi na mafisadi " lowassa ahamie kwa umoja wa panya road na wazururaji CHADEMA / UKAWA kila anapokuwa anatangaza habari inayohusu tu CHADEMA / UKAWA huwa anakuwa na furaha ambayo hata huwa anashindwa kuificha lakini ufo saro huyu huyu akiwa anatangaza tu taarifa ya kuhusu chama kizuri, cha Mungu, kitakatifu, bora na chenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania cha CCM huyu dada tena bila hata ya aibu huwa anakunja sana sura yake na hata " tonation " yake huwa ni ya kukasirika na ni kama analazimishwa tu kusoma taarifa za CCM.

kwenu uongozi wa ITV hebu lifuatilieni hili na mligfanyie kazi vinginevyo huyu binti atawaharibieni kabisa kituo chenu na hatimaye tutajua kuwa pengine anatumika. halafu na nyie CHADEMA / UKAWA kwanini msianzishe tu vituo vyenu vya habari ili mtuondolee hawa waandishi wenye kuacha maadili ya kazi zao na kuweka ushabiki? kama mtakuwa hamna hela ya mtaji wa kuanzisha hivyo vituo tafadhalini njooni CCM na tutawapeni kama siyo kuwakopesheni na mtaturudishia taratibu tu.

ufo saro badilika dada au kama vipi chepuka basi huko CHADEMA / UKAWA ili tujue moja.

tuvumiliane tu kwa sasa.

acha ujinga ndugu yangu
 
Everything is planned

Hiyo ni Psycho Op ku influence official narrative ya ufisadi wa lowassa
 
ni tahadhari kampa maana anakiharibia chombo cha itv kionekane hakipo sawa
 
Hizi ni lugha za mfa maji, lazima arusherushe miguu na mikono hata kama kuogelea hawezi!
 
sasa na kile kisura chake ufosaro akichukia anatizamika kweli?
poleni watazama tv kwa masahibu mnayokumbana nayo kwakweli...
 
nadhani mleta mada ungeanza kwanza na TBC halafu uje kwa hao wengine, hakuna ambaye ange-question credibility ya argument yako.

short of that, utakuwa hauko tofauti kabisa na huyo Saro unayemnanga!
 
huyu dada kadri siku zinavyoenda nashindwa kumuelewa kwani tokea " kubwa la makapi na mafisadi " lowassa ahamie kwa umoja wa panya road na wazururaji CHADEMA / UKAWA kila anapokuwa anatangaza habari inayohusu tu CHADEMA / UKAWA huwa anakuwa na furaha ambayo hata huwa anashindwa kuificha lakini ufo saro huyu huyu akiwa anatangaza tu taarifa ya kuhusu chama kizuri, cha Mungu, kitakatifu, bora na chenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania cha CCM huyu dada tena bila hata ya aibu huwa anakunja sana sura yake na hata " tonation " yake huwa ni ya kukasirika na ni kama analazimishwa tu kusoma taarifa za CCM.

kwenu uongozi wa ITV hebu lifuatilieni hili na mligfanyie kazi vinginevyo huyu binti atawaharibieni kabisa kituo chenu na hatimaye tutajua kuwa pengine anatumika. halafu na nyie CHADEMA / UKAWA kwanini msianzishe tu vituo vyenu vya habari ili mtuondolee hawa waandishi wenye kuacha maadili ya kazi zao na kuweka ushabiki? kama mtakuwa hamna hela ya mtaji wa kuanzisha hivyo vituo tafadhalini njooni CCM na tutawapeni kama siyo kuwakopesheni na mtaturudishia taratibu tu.

ufo saro badilika dada au kama vipi chepuka basi huko CHADEMA / UKAWA ili tujue moja.

tuvumiliane tu kwa sasa.
CCM'S SLAVES AT WORK..... Analyze nchi yako inaendaje...wizi wa rasilimali(twiga kapanda ndege)na hakuna mtu aliewajibishwa, gas kuelekea china( coming soon),mishahara hewa..kila riport ya CAG ikitoka ni madudu tuu na hatua hazichukuliwi, watanzania kugeuzwa watumwa na wageni(wawekezaji) na hakuna wakuwatetea..haya yoote ukiyaanalyze ndo unawezafanya decision kwanba DELETE CCM OCTOBER 25....TUMECHOKA INATOSHA
 
Huo ni ubaguzi kwa vile yeye anatoka kaskazini, watu kama hawa ni wa kumuogopa kama ukoma
 
Huu ni uvumbuzi mkubwa sana. Mimi sikuwahi kugundua hilo kabla.......
 
Back
Top Bottom