Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Tumeliwa kwa miaka mingi, sasa ukweli umethihirika. Naomba wote waliohusika kulihujumu taifa kupitia njia hiyo wafunguliwe mashtaka.
Isitoshe basi yule aliyekua akionekana Mbunge machachari, mtetezi wa wanyonge, kamanda na nyota ing'arayo upande wa upinzani , ndiyo muuza nguzo na mla rushwa mahiri ktk kadhia hii .