GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,620
- 4,265
Waziri wa nishati na madini, prof. Muhongo ameweka wazi kuwa kuna wabunge wanaiuzia Tanesco nguzo na kwamba nguzo hizo zinatoka South Africa.
Prof. Muhongo amesema nguzo hizo zinatoka Mkoani Iringa zinaenda Mombasa halafu zinarudishwa Tanzania kwa jina la nguzo za South Africa!
Hili kweli shamba la bibi jamani!
Prof. Muhongo amesema nguzo hizo zinatoka Mkoani Iringa zinaenda Mombasa halafu zinarudishwa Tanzania kwa jina la nguzo za South Africa!
Hili kweli shamba la bibi jamani!