Ufisadi wa Mh Heche, Ester Matiko na Nyaswi Tarime

Ufisadi wa Mh Heche, Ester Matiko na Nyaswi Tarime

Tusiwe na Tabia ya kupuuza hoja kwa mihemko ya vyama. HATA Hawa ndugu zetu wa UKUTA wana kasoro zao NA tangu wamkaribishe Jamaa yangu kuwa mgombea Urais Sera ya Kupinga Ufisadi kwao imekuwa Sio kipaumbele tena ila UKUTA, NA bunge live.

Suala la watumishi kutokuangezewa mishahara July kama ilivyo kawaida wao haliwahusu. Madawati hawawezi kuchangia wala HATA kuyazungumzia hawana muda. Kikubwa kwao ni maandamano, kwa staili hiyo Magogoni kuingia wasahau
 
Tusiwe na Tabia ya kupuuza hoja kwa mihemko ya vyama. HATA Hawa ndugu zetu wa UKUTA wana kasoro zao NA tangu wamkaribishe Jamaa yangu kuwa mgombea Urais Sera ya Kupinga Ufisadi kwao imekuwa Sio kipaumbele tena ila UKUTA, NA bunge live.

Suala la watumishi kutokuangezewa mishahara July kama ilivyo kawaida wao haliwahusu. Madawati hawawezi kuchangia wala HATA kuyazungumzia hawana muda. Kikubwa kwao ni maandamano, kwa staili hiyo Magogoni kuingia wasahau





post namba 23



Hivi Heche si ni Mbunge wa Tarime Vijijini?Hiyo Tarime Mjini na Vijijini ni Halmashauri moja?
 
Back
Top Bottom