Ufisadi wa Kutisha TACCEO

Ni Mimi Msiogope

JF-Expert Member
May 28, 2012
352
200
Jumuiko la Asasi za kiraia Tanzania zilizojipambanua kama waangalizi wa ndani wa chaguzi kadhaa wameanza kutuhumiana kwa namna ambavyo matumizi ya fedha za wafadhili yanavyofanywa. Hii ni moja ya taarifa saba ambazo zimelalamikiwa sana na kamati yao. Jumuiko hili linaratibiwa na LHRC (Legal and human Rights Center)

UCHAGUZI WA ARUMERU
The following are description of the budget for the launching of the Arumeru Report activity:


S/No.
ITEM
AMOUNT
1
Honorarium for the guest of honor
300,000/=
2
Transport of Members from Up country
Transport 100,000/=
Accomodation 200,000/=
Transport for other Members 30,000@X 6= 180,000/=
480,000/=
3
Transport for 30 journalist 10,000/=300,00/=
300,000/=
4
Water for 100 people ; 100pp x 1x700/=
70,000/=






5
100 pax @4000 mid morning tea
400,000/=
6
4 Tents,
100Chairs,
Decorations for 100 people
240,000/=
40,000/=


300,000/=
7
PA System
150,000/=
8
Mawasiliano
50,000/=


GRAND TOTAL
2,330,000/=
 
WW nahisi utakuwa una agenda ya kuwachafulia jina LHRc..maana hapo sioni ufisadi wowote.mil mbili kwa event kama hiyo ni peanut..Ila NGOs nyingi kuna ufisadiiiiiii sikatai coz na mm nipo kwenye NGo..wanajifanya wanapigia Serikali kelele ilhali wao wachafuuuuu kupita maelezo.I wish CAG angekuwa anawakagua!!
 
Jumuiko la Asasi za kiraia Tanzania zilizojipambanua kama waangalizi wa ndani wa chaguzi kadhaa wameanza kutuhumiana kwa namna ambavyo matumizi ya fedha za wafadhili yanavyofanywa. Hii ni moja ya taarifa saba ambazo zimelalamikiwa sana na kamati yao. Jumuiko hili linaratibiwa na LHRC (Legal and human Rights Center)

UCHAGUZI WA ARUMERU
The following are description of the budget for the launching of the Arumeru Report activity:


S/No. ITEM AMOUNT
1 Honorarium for the guest of honor 300,000/=
2 Transport of Members from Up country
Transport 100,000/=
Accomodation 200,000/=
Transport for other Members 30,000@X 6= 180,000/=
480,000/=
3 Transport for 30 journalist 10,000/=300,00/= 300,000/=
4 Water for 100 people ; 100pp x 1x700/= 70,000/=
5 100 pax @4000 mid morning tea 400,000/=
6 4 Tents,
100Chairs,
Decorations for 100 people
240,000/=
40,000/=


300,000/=
7 PA System 150,000/=
8 Mawasiliano 50,000/=
GRAND TOTAL 2,330,000/=
tunasubiri kauli ya kijo bisimba ili kuweka mambo sawa,
 
Sasa hapo huo ufisadi ni upi? Maana naona pesa kubwa anayochukua mtu mmoja ni hiyo honorarium pekee (Tzs 300,000). Ila hizo nyingine ni matumizi ya kawaida kabisa.
Nadhani mleta mada una sababu zako binafsi , yaani bila aibu unasema ufisadi wa kutisha halafu jumla ya hesabu zako ni Tzs 2,330,000!
Tusitumie JF kwa maslahi binafsi au kwa kuchafuana tu na kujaza servers.
Ungefanya analytics ya ulichopanga kukiandika kabla ya kuki-post
 
Mtoa mda jipangee,tena ujipange kweli yani 2.3m ndio ufisadi? tena kuwahudumia watu 100? Jipange Upya
 
Unajua ccm walitumia bilion ngapi uchaguzi ule?tena wakaangukia pua.hayo matumizi ni ya kawaida
 
Jumuiko la Asasi za kiraia Tanzania zilizojipambanua kama waangalizi wa ndani wa chaguzi kadhaa wameanza kutuhumiana kwa namna ambavyo matumizi ya fedha za wafadhili yanavyofanywa. Hii ni moja ya taarifa saba ambazo zimelalamikiwa sana na kamati yao. Jumuiko hili linaratibiwa na LHRC (Legal and human Rights Center)

UCHAGUZI WA ARUMERU
The following are description of the budget for the launching of the Arumeru Report activity:


S/No. ITEM AMOUNT
1 Honorarium for the guest of honor 300,000/=
2 Transport of Members from Up country
Transport 100,000/=
Accomodation 200,000/=
Transport for other Members 30,000@X 6= 180,000/=
480,000/=
3 Transport for 30 journalist 10,000/=300,00/= 300,000/=
4 Water for 100 people ; 100pp x 1x700/= 70,000/=
5 100 pax @4000 mid morning tea 400,000/=
6 4 Tents,
100Chairs,
Decorations for 100 people
240,000/=
40,000/=


300,000/=
7 PA System 150,000/=
8 Mawasiliano 50,000/=
GRAND TOTAL 2,330,000/=

Ufisadi uko wapi wewe binadamu? Inawezekana hujatambua maana ya budget. Inaonyesha tukio na matumizi yake! Labda utuambie hasa unachokusudia kusema hapa jamvini au kama hukulipwa kulingana na budget yao useme item husika. Vinginevyo tuna mambo mengi ya kujadili acha UMBEA.
 
Jumuiko la Asasi za kiraia Tanzania zilizojipambanua kama waangalizi wa ndani wa chaguzi kadhaa wameanza kutuhumiana kwa namna ambavyo matumizi ya fedha za wafadhili yanavyofanywa. Hii ni moja ya taarifa saba ambazo zimelalamikiwa sana na kamati yao. Jumuiko hili linaratibiwa na LHRC (Legal and human Rights Center)

UCHAGUZI WA ARUMERU
The following are description of the budget for the launching of the Arumeru Report activity:


S/No. ITEM AMOUNT
1 Honorarium for the guest of honor 300,000/=
2 Transport of Members from Up country
Transport 100,000/=
Accomodation 200,000/=
Transport for other Members 30,000@X 6= 180,000/=
480,000/=
3 Transport for 30 journalist 10,000/=300,00/= 300,000/=
4 Water for 100 people ; 100pp x 1x700/= 70,000/=
5 100 pax @4000 mid morning tea 400,000/=
6 4 Tents,
100Chairs,
Decorations for 100 people
240,000/=
40,000/=


300,000/=
7 PA System 150,000/=
8 Mawasiliano 50,000/=
GRAND TOTAL 2,330,000/=
Nilifikiri nitaona "siting allowance" sikuona pambafu usiwachafue bure!!
 
Hivi member wengine hawaonagi mambo ya kuongelea? Hv vimilioni mbili ndio anasema ufisadi wa kutisha??

Hebu tafakari upya ndiyo urudi humu!
 
We utakuwa form six leaver tu. Eti 2.3m ufisadi?. Nenda zako, mods ifuteni hii maana inachafua jamvi na credibility ya tacceo.
 
Hahaha mbona hela za kawaida sana hizo.

Nenda kaangalie matumizi ya Ikulu kwenye event kama hiyo hiyo na vitu hivyo hivyo
 
Jumuiko la Asasi za kiraia Tanzania zilizojipambanua kama waangalizi wa ndani wa chaguzi kadhaa wameanza kutuhumiana kwa namna ambavyo matumizi ya fedha za wafadhili yanavyofanywa. Hii ni moja ya taarifa saba ambazo zimelalamikiwa sana na kamati yao. Jumuiko hili linaratibiwa na LHRC (Legal and human Rights Center)

UCHAGUZI WA ARUMERU
The following are description of the budget for the launching of the Arumeru Report activity:


S/No. ITEM AMOUNT
1 Honorarium for the guest of honor 300,000/=
2 Transport of Members from Up country
Transport 100,000/=
Accomodation 200,000/=
Transport for other Members 30,000@X 6= 180,000/=
480,000/=
3 Transport for 30 journalist 10,000/=300,00/= 300,000/=
4 Water for 100 people ; 100pp x 1x700/= 70,000/=
5 100 pax @4000 mid morning tea 400,000/=
6 4 Tents,
100Chairs,
Decorations for 100 people
240,000/=
40,000/=


300,000/=
7 PA System 150,000/=
8 Mawasiliano 50,000/=
GRAND TOTAL 2,330,000/=

Mbona sioni Kama kuna Tatizo lolote!! Au Akili Yangu?
 
Back
Top Bottom