Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Sirluta
Swala la ada ya taka sio chanzo cha mapato bali ni huduma kwa jamii! Fedha zinakusanywa na wakala ambaye ni mtu binafsi au kampuni binafsi,
Kuhusu matumizi ya mashine ndio tunaelekea huko ila kwa sasa mashine zinatumika kwenye vyanzo ambavyo ni mapato na sio kwenye huduma!
Ukishirikisha ubongo utanielewa vinginevyo endelea na ushabiki
Swala la ada ya taka sio chanzo cha mapato bali ni huduma kwa jamii! Fedha zinakusanywa na wakala ambaye ni mtu binafsi au kampuni binafsi,
Kuhusu matumizi ya mashine ndio tunaelekea huko ila kwa sasa mashine zinatumika kwenye vyanzo ambavyo ni mapato na sio kwenye huduma!
Ukishirikisha ubongo utanielewa vinginevyo endelea na ushabiki