Ufisadi wa kutisha katika Jiji la Arusha kupitia ukusanyaji wa fedha za Usafi Mitaani

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,486
Ufisadi wa kutisha katika Jiji la Arusha kupitia ukusanyaji wa fedha za Usafi Mitaani.

Wakati wa kampeni mwaka jana, Mbunge wa Arusha Mjini Godbles Lema alimtaka Meya wa Jiji ndugu Kalist Lazaro kueleza mikakati ya kuliweka jiji katika hali ya usafi, naye alijibu kuwa ameshafanya yafuatayo mbele ya makada maarufu wa Chadema; Edward Lowasa na Frederick Sumaye.

*Jiji la Arusha lina magari matatu ya kuzoa taka.
*Jiji limeshaajiri vijana wa kutosha kwa ajili ya kufanya usafi na wanalipwa na jiji.
*Jiji limeshanunua vifaa vya kutosha vya kufanya usafi.

HALI IKAWAJE BAADA YA
UCHAGUZI.

Fedha zimekuwa zinakusanywa kati ya tshs 1,000 hadi tshs 5,000 kwa kila mpangaji, kwa kila mwezi kwa ajili ya kuzoelea taka zinazokusanywa na wananchi baada ya kufanya usafi kwenye maeneo yao. Fedha hizo hukusanywa na watu ambao huambatana na migambo ili kurahisisha ukusanyaji. Wakati wa ukusanyaji, risiti zenye nembo ya jiji hutolewa. Sasa haijulikani kama zinatoka Jiji ama wanatengeneza wenyewe na kuweka nembo ya Jiji.

UFISADI UNAOFANYIKA.

Mfano chukulia mtaa wenye wapangaji 5,000 mara tsh 2,000 unapata Tshs 10,000,000/= kwa mwezi ambapo matumizi yake ni kwamba gari la kuzoa taka hukodishwa na kwa gharama za haraka hazizidi Tshs 100,000/= kwa trip kwani taka huchukuliwa asubuhi na
mapema kabla ya saa mbili za asubuhi ili wabebe chache maana muda huo watu wengi wanakuwa hawajatoa taka na hawawezi kuzikusanya nje siku inayotangulia kwani husambazwa na wanyama kama mbuzi na mbwa na hufanyika mara moja kwa
wiki na mara 4 kwa mwezi hivyo kwa mwezi hutumia Tshs 400,000 kuzoa taka,
sasa jiulize hizo nyingine huenda wapi?

Wiki mbili zilizopita katika mkutano wa wananchi na watendaji wa mtaa wao, ulivunjika baada ya mwananchi mmoja kutaka kujua mapato na matumizi ya fedha za taka, sambamba na mwingine aliyependekeza fedha zinazokusanywa kupitia vitabu, ni bora
zikakusanywa kwa kutumia EFD za TRA lakini walinyamazishwa haraka sana kwa kuwazima na jibu kwamba watu hawatoi pesa.

Jiji la Arusha lina kata 25 ila mitaa sijajua ni mingapi. Ila tuchukulie lina mitaa 50 mara
wapangaji 5,000 mara tshs 2,000/= unapata zaidi ya tshs 500Milion kwa mwezi. Huu ni
mradi haramu wa madiwani, watendaji wa mitaa pamoja na watu wengine na ndiyo maana ni kosa la jinai kuhoji mapato na matumizi yake.

Kuna wakati watu wa Afya wakiambatana na kikosi kazi huvamia tu watu na wakikuta
mazingira ni machafu, huwatisha hadi watoe hela kati ya tsh 10,000 hadi tsh 50,000 na wasipotoa hupelekwa kwa mtendaji hadi utoe.

NI VEMA SERIKALI IKASITISHA MRADI HUU HARAMU KWA WANANCHI NA KUTUMIA
MAGARI YA JIJI KUKUSANYA TAKA, AMA ZITUMIKE RISITI ZA EFD ZA TRA BADALA YA VITABU VINAVYOTUMIKA.
 
Ufisadi wa kutisha katika Jiji la
Arusha kupitia ukusanyaji wa
fedha za Usafi Mitaani.

Wakati wa kampeni mwaka
jana, Mbunge wa Arusha Mjini Godbles Lema alimtaka Meya wa Jiji ndugu Kalist Lazaro kueleza mikakati ya kuliweka jiji katika hali ya usafi, naye alijibu kuwa ameshafanya yafuatayo mbele ya makada
maarufu wa Chadema;
Edward Lowasa na Frederick
Sumaye.

*Jiji la Arusha lina magari
matatu ya kuzoa taka.
*Jiji limeshaajiri vijana wa
kutosha kwa ajili ya kufanya
usafi na wanalipwa na jiji.
*Jiji limeshanunua vifaa vya
kutosha vya kufanya usafi.

HALI IKAWAJE BAADA YA
UCHAGUZI.

Fedha zimekuwa
zinakusanywa kati ya tshs
1,000 hadi tshs 5,000 kwa
kila mpangaji, kwa kila mwezi
kwa ajili ya kuzoelea taka
zinazokusanywa na wananchi
baada ya kufanya usafi
kwenye maeneo yao. Fedha
hizo hukusanywa na watu
ambao huambatana na
migambo ili kurahisisha
ukusanyaji. Wakati wa
ukusanyaji, risiti zenye
nembo ya jiji hutolewa. Sasa
haijulikani kama zinatoka Jiji
ama wanatengeneza
wenyewe na kuweka nembo
ya Jiji.

UFISADI UNAOFANYIKA.

Mfano chukulia mtaa wenye
wapangaji 5,000 mara tsh
2,000 unapata Tshs
10,000,000/= kwa mwezi
ambapo matumizi yake ni
kwamba gari la kuzoa taka
hukodishwa na kwa gharama
za haraka hazizidi Tshs
100,000/= kwa trip kwani
taka huchukuliwa asubuhi na
mapema kabla ya saa mbili
za asubuhi ili wabebe chache
maana muda huo watu
wengi wanakuwa hawajatoa
taka na hawawezi
kuzikusanya nje siku
inayotangulia kwani
husambazwa na wanyama
kama mbuzi na mbwa na
hufanyika mara moja kwa
wiki na mara 4 kwa mwezi
hivyo kwa mwezi hutumia
Tshs 400,000 kuzoa taka,
sasa jiulize hizo nyingine
huenda wapi?

Wiki mbili zilizopita katika
mkutano wa wananchi na
watendaji wa mtaa wao,
ulivunjika baada ya
mwananchi mmoja kutaka
kujua mapato na matumizi ya
fedha za taka, sambamba na
mwingine aliyependekeza
fedha zinazokusanywa
kupitia vitabu, ni bora
zikakusanywa kwa kutumia
EFD za TRA lakini
walinyamazishwa haraka
sana kwa kuwazima na jibu
kwamba watu hawatoi pesa.

Jiji la Arusha lina kata 25 ila
mitaa sijajua ni mingapi. Ila
tuchukulie lina mitaa 50 mara
wapangaji 5,000 mara tshs
2,000/= unapata zaidi ya tshs
500Milion kwa mwezi. Huu ni
mradi haramu wa madiwani,
watendaji wa mitaa pamoja
na watu wengine na ndiyo
maana ni kosa la jinai kuhoji
mapato na matumizi yake.

Kuna wakati watu wa Afya
wakiambatana na kikosi kazi
huvamia tu watu na wakikuta
mazingira ni machafu,
huwatisha hadi watoe hela
kati ya tsh 10,000 hadi tsh
50,000 na wasipotoa
hupelekwa kwa mtendaji
hadi utoe.

NI VEMA SERIKALI IKASITISHA
MRADI HUU HARAMU KWA
WANANCHI NA KUTUMIA
MAGARI YA JIJI KUKUSANYA
TAKA, AMA ZITUMIKE RISITI ZA EFD ZA TRA BADALA YA VITABU VINAVYOTUMIKA.

Naona wewe hutaki jiji liwe safi kama lilivyo sasa na inaonekana hutaki kulipia usafi ulioko. Mimi nimeishi Arusha mjini kwa miaka 40 na usafi ulioko sasa ni wa kuigwa na miji mingine. Pesa tunazolipa ndizo zimeondoa uozo uliokuwepo kila kona ya jiji. Mwulize diwani wako utaratibu wa mapato na matumizi ya halmashauri na wakala wake kuliko kuja hapa kuandika nadharia zako zisizo na mashiko. Mimi sina chama lakini wakati madiwani wakiwa wa ccm utendaji ulikuwa hovyo kabisa na ufisadi ulitamalaki. Ila pongezi kwa rais JPM kwa kurejesha nidhamu kwa watendaji wa serikali.
 
Naona wewe hutaki jiji liwe safi kama lilivyo sasa na inaonekana hutaki kulipia usafi ulioko. Mimi nimeishi Arusha mjini kwa miaka 40 na usafi ulioko sasa ni wa kuigwa na miji mingine. Pesa tunazolipa ndizo zimeondoa uozo uliokuwepo kila kona ya jiji. Mwulize diwani wako utaratibu wa mapato na matumizi ya halmashauri na wakala wake kuliko kuja hapa kuandika nadharia zako zisizo na mashiko. Mimi sina chama lakini wakati madiwani wakiwa wa ccm utendaji ulikuwa hovyo kabisa na ufisadi ulitamalaki. Ila pongezi kwa rais JPM kwa kurejesha nidhamu kwa watendaji wa serikali.
usafi unafanyika katikati ya jiji tu, mitaani ni kuchafu kwasababu ya kukosa usimamizi. Dili lipo kwenye upigaji wa hela tu. Kama wewe ni mgambo wa kuongozana na wale wanaokusanya fedha hizo, lazima useme hivyo maana ndo ulaji wako. Pia watu hutofautiana kwa viwango vya usafi na uchafu. Hivyo wewe unaweza ukaona ni kusafi kwa kuwa umezoea uchafu ila wanaojua usafi wataona ni kuchafu.
 
Ufisadi wa kutisha katika Jiji la
Arusha kupitia ukusanyaji wa
fedha za Usafi Mitaani.

Wakati wa kampeni mwaka
jana, Mbunge wa Arusha Mjini Godbles Lema alimtaka Meya wa Jiji ndugu Kalist Lazaro kueleza mikakati ya kuliweka jiji katika hali ya usafi, naye alijibu kuwa ameshafanya yafuatayo mbele ya makada
maarufu wa Chadema;
Edward Lowasa na Frederick
Sumaye.

*Jiji la Arusha lina magari
matatu ya kuzoa taka.
*Jiji limeshaajiri vijana wa
kutosha kwa ajili ya kufanya
usafi na wanalipwa na jiji.
*Jiji limeshanunua vifaa vya
kutosha vya kufanya usafi.

HALI IKAWAJE BAADA YA
UCHAGUZI.

Fedha zimekuwa
zinakusanywa kati ya tshs
1,000 hadi tshs 5,000 kwa
kila mpangaji, kwa kila mwezi
kwa ajili ya kuzoelea taka
zinazokusanywa na wananchi
baada ya kufanya usafi
kwenye maeneo yao. Fedha
hizo hukusanywa na watu
ambao huambatana na
migambo ili kurahisisha
ukusanyaji. Wakati wa
ukusanyaji, risiti zenye
nembo ya jiji hutolewa. Sasa
haijulikani kama zinatoka Jiji
ama wanatengeneza
wenyewe na kuweka nembo
ya Jiji.

UFISADI UNAOFANYIKA.

Mfano chukulia mtaa wenye
wapangaji 5,000 mara tsh
2,000 unapata Tshs
10,000,000/= kwa mwezi
ambapo matumizi yake ni
kwamba gari la kuzoa taka
hukodishwa na kwa gharama
za haraka hazizidi Tshs
100,000/= kwa trip kwani
taka huchukuliwa asubuhi na
mapema kabla ya saa mbili
za asubuhi ili wabebe chache
maana muda huo watu
wengi wanakuwa hawajatoa
taka na hawawezi
kuzikusanya nje siku
inayotangulia kwani
husambazwa na wanyama
kama mbuzi na mbwa na
hufanyika mara moja kwa
wiki na mara 4 kwa mwezi
hivyo kwa mwezi hutumia
Tshs 400,000 kuzoa taka,
sasa jiulize hizo nyingine
huenda wapi?

Wiki mbili zilizopita katika
mkutano wa wananchi na
watendaji wa mtaa wao,
ulivunjika baada ya
mwananchi mmoja kutaka
kujua mapato na matumizi ya
fedha za taka, sambamba na
mwingine aliyependekeza
fedha zinazokusanywa
kupitia vitabu, ni bora
zikakusanywa kwa kutumia
EFD za TRA lakini
walinyamazishwa haraka
sana kwa kuwazima na jibu
kwamba watu hawatoi pesa.

Jiji la Arusha lina kata 25 ila
mitaa sijajua ni mingapi. Ila
tuchukulie lina mitaa 50 mara
wapangaji 5,000 mara tshs
2,000/= unapata zaidi ya tshs
500Milion kwa mwezi. Huu ni
mradi haramu wa madiwani,
watendaji wa mitaa pamoja
na watu wengine na ndiyo
maana ni kosa la jinai kuhoji
mapato na matumizi yake.

Kuna wakati watu wa Afya
wakiambatana na kikosi kazi
huvamia tu watu na wakikuta
mazingira ni machafu,
huwatisha hadi watoe hela
kati ya tsh 10,000 hadi tsh
50,000 na wasipotoa
hupelekwa kwa mtendaji
hadi utoe.

NI VEMA SERIKALI IKASITISHA
MRADI HUU HARAMU KWA
WANANCHI NA KUTUMIA
MAGARI YA JIJI KUKUSANYA
TAKA, AMA ZITUMIKE RISITI ZA EFD ZA TRA BADALA YA VITABU VINAVYOTUMIKA.
Wenzako tunaomboleza kwa kubamizwa bilioni 320 wewe ndiyo umekazana kuleta porojo zako za kutafutiza.
 
Tuache siasa. Tuongelee Tanesco kwanza.
Ufisadi wa kutisha katika Jiji la
Arusha kupitia ukusanyaji wa
fedha za Usafi Mitaani.

Wakati wa kampeni mwaka
jana, Mbunge wa Arusha Mjini Godbles Lema alimtaka Meya wa Jiji ndugu Kalist Lazaro kueleza mikakati ya kuliweka jiji katika hali ya usafi, naye alijibu kuwa ameshafanya yafuatayo mbele ya makada
maarufu wa Chadema;
Edward Lowasa na Frederick
Sumaye.

*Jiji la Arusha lina magari
matatu ya kuzoa taka.
*Jiji limeshaajiri vijana wa
kutosha kwa ajili ya kufanya
usafi na wanalipwa na jiji.
*Jiji limeshanunua vifaa vya
kutosha vya kufanya usafi.

HALI IKAWAJE BAADA YA
UCHAGUZI.

Fedha zimekuwa
zinakusanywa kati ya tshs
1,000 hadi tshs 5,000 kwa
kila mpangaji, kwa kila mwezi
kwa ajili ya kuzoelea taka
zinazokusanywa na wananchi
baada ya kufanya usafi
kwenye maeneo yao. Fedha
hizo hukusanywa na watu
ambao huambatana na
migambo ili kurahisisha
ukusanyaji. Wakati wa
ukusanyaji, risiti zenye
nembo ya jiji hutolewa. Sasa
haijulikani kama zinatoka Jiji
ama wanatengeneza
wenyewe na kuweka nembo
ya Jiji.

UFISADI UNAOFANYIKA.

Mfano chukulia mtaa wenye
wapangaji 5,000 mara tsh
2,000 unapata Tshs
10,000,000/= kwa mwezi
ambapo matumizi yake ni
kwamba gari la kuzoa taka
hukodishwa na kwa gharama
za haraka hazizidi Tshs
100,000/= kwa trip kwani
taka huchukuliwa asubuhi na
mapema kabla ya saa mbili
za asubuhi ili wabebe chache
maana muda huo watu
wengi wanakuwa hawajatoa
taka na hawawezi
kuzikusanya nje siku
inayotangulia kwani
husambazwa na wanyama
kama mbuzi na mbwa na
hufanyika mara moja kwa
wiki na mara 4 kwa mwezi
hivyo kwa mwezi hutumia
Tshs 400,000 kuzoa taka,
sasa jiulize hizo nyingine
huenda wapi?

Wiki mbili zilizopita katika
mkutano wa wananchi na
watendaji wa mtaa wao,
ulivunjika baada ya
mwananchi mmoja kutaka
kujua mapato na matumizi ya
fedha za taka, sambamba na
mwingine aliyependekeza
fedha zinazokusanywa
kupitia vitabu, ni bora
zikakusanywa kwa kutumia
EFD za TRA lakini
walinyamazishwa haraka
sana kwa kuwazima na jibu
kwamba watu hawatoi pesa.

Jiji la Arusha lina kata 25 ila
mitaa sijajua ni mingapi. Ila
tuchukulie lina mitaa 50 mara
wapangaji 5,000 mara tshs
2,000/= unapata zaidi ya tshs
500Milion kwa mwezi. Huu ni
mradi haramu wa madiwani,
watendaji wa mitaa pamoja
na watu wengine na ndiyo
maana ni kosa la jinai kuhoji
mapato na matumizi yake.

Kuna wakati watu wa Afya
wakiambatana na kikosi kazi
huvamia tu watu na wakikuta
mazingira ni machafu,
huwatisha hadi watoe hela
kati ya tsh 10,000 hadi tsh
50,000 na wasipotoa
hupelekwa kwa mtendaji
hadi utoe.

NI VEMA SERIKALI IKASITISHA
MRADI HUU HARAMU KWA
WANANCHI NA KUTUMIA
MAGARI YA JIJI KUKUSANYA
TAKA, AMA ZITUMIKE RISITI ZA EFD ZA TRA BADALA YA VITABU VINAVYOTUMIKA.
 
mtoa mada,nafikiri umekuja na tafiti kumbe porojo..eti tuchukulie mtaa una wakazi 5,000,n mtaa gan hata dar wenye wakazi elfu 5?eti tuchukulie jiji lina mitaa 50,hivi mnajua mtia hasira sana na kuidharirisha JF?
 
kabisa mtoa mada,nafikiri umekuja na tafiti kumbe porojo..eti tuchukulie mtaa una wakazi 5,000,n mtaa gan hata dar wenye wakazi elfu 5?eti tuchukulie jiji lina mitaa 50,hivi mnajua mtia hasira sana na kuidharirisha JF?..
Kama nyumba moja inakuwa na wapangaji 25, kwanini mtaa usiwe na idadi hiyo ya wapangaji? Pengine hujui maana ya mtaa. Huko madongo kuinama kwenu mnaita kijiji, huku mijini wanaita mitaa. Kama Jiji lina watu milioni, unashangaa nini kuwa na kaya kati ya laki 2 hadi 3, fedha hizi kuna wanaotoa mara mbili. Nyumbani anapoishi na kwenye biashara yake. Ulaji wa bure bure lazima ufike mwisho. Fanyeni kazi halali.
 
Mmmh mtoa mada unaeza kuwa na logic kama ungekuwa na habari zenye tafiti nzuri tu ili kuwabana watendaji..ila nnchokiona ktk uandishi wako ni nadharia. Mfano nyumba kuwa na waangaji 25..au waaminisha wakazi sio wapangaji. Anyway kabla ya kupost ni vyema tukawa na vyanzo halisi vya habari kupunguza porojo za JF. Hebu leta liquid information tusijadili hisia.
 
Mmmh mtoa mada unaeza kuwa na logic kama ungekuwa na habari zenye tafiti nzuri tu ili kuwabana watendaji..ila nnchokiona ktk uandishi wako ni nadharia. Mfano nyumba kuwa na waangaji 25..au waaminisha wakazi sio wapangaji. Anyway kabla ya kupost ni vyema tukawa na vyanzo halisi vya habari kupunguza porojo za JF. Hebu leta liquid information tusijadili hisia.
kwani haiwezekani? Kama hujui nenda kafanye utafiti wanaweza wakawepo hadi zaidi. Mimi nazijua nyumba za aina hiyo.
 
acha viroba! Kama nyumba moja inakuwa na wapangaji 25, kwanini mtaa usiwe na idadi hiyo ya wapangaji? Pengine hujui maana ya mtaa. Huko madongo kuinama kwenu mnaita kijiji, huku mijini wanaita mitaa. Kama Jiji lina watu milioni, unashangaa nini kuwa na kaya kati ya laki 2 hadi 3, fedha hizi kuna wanaotoa mara mbili. Nyumbani anapoishi na kwenye biashara yake. Ulaji wa bure bure lazima ufike mwisho. Fanyeni kazi halali.
Acha porojo ina maana taka zinalipiwa na watu? Kaya?

Kila nyumba mtaani kwenu ni ya kupangisha?

Watu 25 katika nyumba moja hiyo ni nyumba? Guest house? Gari moshi?
 
Acha porojo ina maana taka zinalipiwa na watu? Kaya?

Kila nyumba mtaani kwenu ni ya kupangisha?

Watu 25 katika nyumba moja hiyo ni nyumba? Guest house? Gari moshi?
endelea kukaa huko kijijini na ushamba wako. Njoo huku nikuonyeshe. Taka hulipiwa na kila familia, awe mwenye nyumba yake ya kuishi, awe mpangaji tena wenye nyumba na wenye biashara ndiyo hulipa kiasi kikubwa. Tatizo ni kwamba wanaokerwa na haya mambo hawapo kwenye mitandao ili waseme.
 
Bavicha hawataki kabisa kuguswa
Ufisadi ni ufisadi tu,huwezi kusema tuache wezi Arusha,tushughulikie kesi ya Tanesco
 
kada wa ccm bana juu ufisad wa kutisha ukisoma habar ni ya kufikirika haina uhalisia kila kitu ni kubuni buni tu
 
Bavicha hawataki kabisa kuguswa
Ufisadi ni ufisadi tu,huwezi kusema tuache wezi Arusha,tushughulikie kesi ya Tanesco
na hawajui chanzo cha escrow, symbion, dowans ni RICHMOND anayewalipa huku kwenye mitandao ili wamsafishe!
 
kada wa ccm bana juu ufisad wa kutisha ukisoma habar ni ya kufikirika haina uhalisia kila kitu ni kubuni buni tu
endelea kudhani ni ya kubuni kwakuwa huna uwezo wa kufanya uchambuzi.
 
Back
Top Bottom