Absolutely true! Nimepata shida hiyo mwaka jana Desemba, ilibidi nilipe storage ya siku tatu. Nilimshawishi Meneja wake mzungu Jumamosi ambayo ilikuwa ni ya mwsiho apokee bank slip yangu akagoma katu katu wakati huo ati muda wa kazi umeisha, wakati nimo ndani ya ofisi yao!
Hizo bandari za nchi kavu wamezitengeneza kwa makusudi ili kuipunguzia mapatao TPA na kujiongezea wao (Wanasiasa) mapato. Wageni kutoka Zambia na DRC wanalia sana hapo TALL.
wewe ni mhuni na nai mzushi.mimi naitumia sana hiyo bandari ya kinana,sijawahi kukutana na kitu kama hicho.we unatoa wapi huu ukuda wako,au umeamka na njaa???? kunywa kwanza chai ndio ushike keyboard.
wewe ni mhuni na nai mzushi.mimi naitumia sana hiyo bandari ya kinana,sijawahi kukutana na kitu kama hicho.we unatoa wapi huu ukuda wako,au umeamka na njaa???? kunywa kwanza chai ndio ushike keyboard.
Halafu nasikia Abdulrhaman Kinana kapatiwa Utanzania ukubwan kimagumashi.
Kinana ni mmoja viongozi weupe zaidi ya karatasi kwa uadilifu,Pengine mtoa habari amekunywa viroba kisha akatoa habari,nazani huyu atakua LEMA unajua siku hizi ana kazi,anapata deiwaka tu,na swala la kuiba magari NAIROBI hamna soko.
nikweli kapewa uraia kimagumashi .aliposhtukiwa sio raia .ikabidi asigombe tena ubunge arusha mjini .
Mkuu naona unaifahamu TALL. Hapo uliposem tu mzungu nikajua unaijua.Absolutely true! Nimepata shida hiyo mwaka jana Desemba, ilibidi nilipe storage ya siku tatu. Nilimshawishi Meneja wake mzungu Jumamosi ambayo ilikuwa ni ya mwsiho apokee bank slip yangu akagoma katu katu wakati huo ati muda wa kazi umeisha, wakati nimo ndani ya ofisi yao!
Hizo bandari za nchi kavu wamezitengeneza kwa makusudi ili kuipunguzia mapatao TPA na kujiongezea wao (Wanasiasa) mapato. Wageni kutoka Zambia na DRC wanalia sana hapo TALL.
Allah tunusuru!! Pale ni kwa Kinana? Kweli mafisadi wa nchii hii halafu si Mtanzania!!!! Ngoja ifike mahali tutaifishe mali zetu na ile sheria walipindisha ibadilishwe. Kinana arudi kwao. Mbona Rost tamu ameshaanza kuondoka taratibu!!!
Uzushi mtupu.
Nasikia harufu kaliiiiiiii ya GAMBA la Kenge!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.Asante kwa taarifa nilikuwa sijui, hilo eneo ni la kwake au amepangishwa? na mimi 2015 lazima niutafute uongozi hata kwa rushwa kitaeleweka.
ngoja nione ni wangapi watabisha juu ya hili!
Kinana ni mmoja viongozi weupe zaidi ya karatasi kwa uadilifu,Pengine mtoa habari amekunywa viroba kisha akatoa habari,nazani huyu atakua LEMA unajua siku hizi ana kazi,anapata deiwaka tu,na swala la kuiba magari NAIROBI hamna soko.