Ufisadi umetokea awamu zilizopita wakati mkataba umesainiwa June, 15, 2021?

Raia katika nchi wanapaswa kuishi kwa mujibu wa sheria.Sasa mnapochoma majambazi moto huwa mnafanya hivyo kwa mujibu wa sheria ipi?

Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa katiba na sheria na siyo kwa mujibu wa matakwa au matamanio ya Rais.Ni sheria ipi hiyo inayoelekeza kuwa wafungwa wapige kazi usiku na mchana na pia wazembe wapigwe mateke?
Kati ya sheria na haki kipi muhimu tunawachoma kwa mujibu wa haki sheria ni upumbavu mtupu hata majambazi wana sheria zao
 
Kati ya sheria na haki kipi muhimu tunawachoma kwa mujibu wa haki sheria ni upumbavu mtupu hata majambazi wana sheria zao
Choma jambazi kwa mujibu wa haki kisha mahakamani kwenye kesi ya mauaji ujitetee kwa kumwambia jaji kuwa sheria ni upumbavu mtupu🐒🐒🐒
 
Choma jambazi kwa mujibu wa haki kisha mahakamani kwenye kesi ya mauaji ujitetee kwa kumwambia jaji kuwa sheria ni upumbavu mtupu
Acha nikupe akili wewe bwege ,
Jambazi linavunja sheria dhidi ya haki ,je mimi nikivunja sheria kwa ajili ya haki nimefanya kosa gani ,tumia akili wewe zuzu
 
Acha nikupe akili wewe bwege ,
Jambazi linavunja sheria dhidi ya haki ,je mimi nikivunja sheria kwa ajili ya haki nimefanya kosa gani ,tumia akili wewe zuzu
Two wrongs don't make a right.Jambazi kuvunja sheria dhidi ya haki haihalalishi wala haikupi kibali wewe kuvunja sheria kwa ajili ya haki.
 
Two wrongs don't make a right.Jambazi kuvunja sheria dhidi ya haki haihalalishi wala haikupi kibali wewe kuvunja sheria kwa ajili ya haki.
Siku ukipata akili utalichukia neno sheria sana wenzako wenge akili tunataka haki siyo sheria maana ni sheria kwaajili ya haki na si haki kwaajili ya sheria ,hata shetani anazo sheria zake na mungu anazo sheria zake tofauti ni HAKI ,Sheria za shetani siyo za haki wakati za mungu ni za haki
 
Siku ukipata akili utalichukia neno sheria sana wenzako wenge akili tunataka haki siyo sheria maana ni sheria kwaajili ya haki na si haki kwaajili ya sheria ,hata shetani anazo sheria zake na mungu anazo sheria zake tofauti ni HAKI ,Sheria za shetani siyo za haki wakati za mungu ni za haki
Haya ni maoni yako binafsi ambayo ni ya kipumbavu sana kwa sababu huwezi kuyatumia mahakamani.

Ukienda mahakamani na utetezi kama huu ni unapigwa mvua ya kutosha.Kwa hiyo ni maoni yako binafsi na ambayo hayana tija.

Unapaswa kuyatupilia mbali kwa sababu huwezi kuyatumia mahakamani yakakupa hifadhi.
 
Haya ni maoni yako binafsi ambayo ni ya kipumbavu sana kwa sababu huwezi kuyatumia mahakamani.

Ukienda mahakamani na utetezi kama huu ni unapigwa mvua ya kutosha.Kwa hiyo ni maoni yako binafsi na ambayo hayana tija.

Unapaswa kuyatupilia mbali kwa sababu huwezi kuyatumia mahakamani yakakupa hifadhi.
Na ndiyo maana dunia inakila aina ya vurugu kwa sababu mahakama zinaongozwa na sheria badala ya HAKI ndiyo maana nikakuambia siku ukijua upumbavu wa neno utawala wa sheria utalia sana kwa kulishabikia
 
Mpuuzi saana wewe ,zabuni ya hiyo kazi ilitangazwa wakati Kalemani akiwa Waziri
Ufisadi ni ufisadi tu uwe ulitangazwa wakati wowote sisi wananchi tunataka mafisadi yafungwe na mikataba ya kifisadi ifutwe ,kwahiyo uchafu ukifanyika wakati wa kalemani ndiyo uachwe uendelee ,wekweli ni kinyeroo
 
Wakubwa wanajaribu sana kumchafua JPM lakini wananchi wa kawaida wanaangalia vitu vidogo vidogo kama maji, umeme, huduma za jamii waendapo kwenye ofisi za serikali kama TRA, hospital, mashuleni nk; wanaiona tofauti ya JPM na sasa, na wanaona kabisa nani mpigaji, record mtaani zinaongea tofauti na record za kina CAG, records za kina CAG zinaeleweka na Wasomi tu, lakini wasomi hao hao nao wanajua sometimes huaga kuna upishi wa records and hence wasomi nao wamegawanyika, wapo wanao ziamini hizo reports za CAG na wapo wanao zidharau lakini jopo kubwa la Watanzania wa kawaida wenyewe nao wana reports zao, hizo hazihitaji makaratasi, ni issues za facts, umeme, maji nk, vyote vina mgao, wanajiuliza, how comes ng'ombe wanaweza kunywa maji ya mto Ruvu hadi maji yaishe? Wanajiuliza, inakuaje mji kama wa Mwanza eti na wenyewe uwe na mgao wa maji? Wanamkumbuka JPM, wanamlinganisha na wa sasa then wanapata majibu kwamba nani mzalendo, nani aliwapenda kuliko mwingine
 
Kwahiyo rais asichukue hatua ili alinde legacy ya Magufuli.

Mikataba ulisainiwa June 2021,Magufuli anahusikaje hapa. Na hata ingekuwa mikataba ilisainiwa kipindi chake kwamba km Kuna mapungufu basi Rais asichukue hatua. Kwani huyo Magufuli alikuwa Malaika asiye na mapungufu?

Kwamba Sasa watu wakitaka kufanya kazi waende wakamuulize Magufuli Kwanza ili walinde legacy yake.Kwasababu chochote tutakachofanya kwa Sasa lazima wazo liwe lilikuwa la Magufuli.Na yale aliyofanya hatutakiwi kurekebisha sababu Ni malaika asiyekosea.

Na SSH angeamua akaifuta serikali na wateule wote wa Mwendazake leo mngekuwa mnaimba nini?

Magufuli amepita na zama zake zimepita.Imebaki historia.Watakuja maraisi na kila mmoja atakuwa na style yake ya kuongoza. Na atafanya kazi na watu anaoona wanamfaa. Adui wa Magufuli si adui wa Samia
Tatizo kubwa kbs ni hangaya kujipambanua kuwa alikuwa na uadui na jpm,na kila anakoenda wimbo umekuwa ni huo tu,yeye angeachana na jpm,aksjikita kuchapa kazi tu,
 
Sio kweli anajua kila kitu siajabu yeye mwenyewe ndiyo architect wa kila kitu, ni deeper zaidi ya hapo, usisahu yuko madarakani kama miezi 8 tu lkn kila kitu ndivyo sivyo halafu anasema siyo yeye wakati alikuwa Makamu wa Raisi miaka 5 na hata akagombea tena kwa mara ya pili na kifo cha Magu ndicho kilichompa uraisi, haya mambo ni magumu sana usione watu wako kama wamechanganyikiwa …
Sio baada kifo,sema baada ya kumuuuwa jpm kwa misaada wa mabepali wa kutoka nje na ndani wakiongozwa la RA,yeye ndie akawa rais,
 
Nafikiri watu waliomzunguka Mh Rais wanashindwa kumsaidia. Kuanzia handling ya mpango wa kumchafua JPM, mfumuko wa bei usioeleweka! Matatizo ya maji na umeme! Kesi ya Mbowe ya kubumbabumba! Zinambomoa mama kuliko kumjenga.

Hii awamu ya sita hawatoweza kumbomoa JPM wakaeleweka na umma kwasasa, wadeal na issue zao hesabu 2025.
Umma gani?
 
Na kuna lile bomu la Machinga,ngosha alilitupa nyuma ya nyumba,mama akaenda kuliokota na kuja kulifanyia ufundi sebuleni,ufundi wenyewe wa kiseremala,sasa hivi linatoa moshi,ameliacha sebuleni ameenda kusikilizia kibarazani huku akijifanya kusuka suka kamkeka kake,sisi tumebaki sebleni tunafurahia muvi ya hongbak!
Dah,wewe ni mshenzi sana,kidogo univunje mbavu kwa kicheko,looh umeniondolea stress
 
Binafsi nahisi kuna uhuni! Haiwezekani vitu vifumuliwe kwa mpigo kiasi hiki! Issue ya machinga inafukuta chini kwa chini hata kama watapuuza. JPM hata wafanye nini umma ulimwamini na kumpenda! Kudeal na legacy yake ni kugeuka adui kwa wananchi hasa maskini.

Hii nchi imepitia mengi, kuna umafia mwingi ambao pengine hata maadui zetu wakau fuel. Zinahitajika hekima kuvuka nyakati hizi! Any alignment na utawala wa awamu zilizopita na makundi yake utaiweka CCM na nchi hatarini.

Mama asitafute huruma ya makundi ya CCM Mtandao, CCM Msoga, CCM asilia wala Team JPM. Maana kuelekea 2025 haya makundi hayatokuwa na nguvu against umma ambao umejifunza mengi hasa kipindi cha JPM.

Mama akishindwa kufikia malengo wote tumeshindwa, tumsaidie ili atuvushe salama na kuacha legacy bora kwa akina Mama, dada na Watanzania wote.
Shikamooooooooo
 
Tatizo Samia anapambana kuivuruga legacy ya JPM kwa kutumia "Makapi" yaliyokataliwa na JPM.

Asilalamike, serikali ni yake, akiona fisadi amshughulikie, na kama JPM alikuwa na ufisadi basi na Samia Suluhu Hassan ni FISADI.

Kashindwa kuendesha taifa kwa kujaribu kuwa mpole na kuwaondoa wachapakazi akidanganywa eti ni "SUKUMA Gang".
Kila Rais mpya huona makosa ya mwenzake na hilo sio jambo baya hata kidogo. Wakati huo hilo jambo baya likifanyika huwa halionekane ubaya wake ni upi.

Kumbuka muda ndio unaowawezesha wasaidizi wa rais mpya kuyaona makosa ya mtangulizi wake na kuyafanyia kazi.

Hakuna rais msafi wala mchafu kwa ujumla wake. Na kila awamu inakuwa na haki ya kuachana na mabaya yote ya mtangulizi aliotangulia.

Tatizo waafrika tuna ile mitizamo ya kichawi, kwamba nikikukosoa basi ninayo nia iliyojificha juu ya utendaji kazi wa awamu yako.
 
Mbona tangu aingie kila kitu kinapanda bei na maendeleo yamesimama, anamchafua sana mwenzake uku hajafanya chochote
 
Back
Top Bottom