Tumesikia ya ATCL makubwa na yanayohatarisha maisha ya watu , hakuna hata mkuu mmoja wa serikali aliyesimama kidete na kuisafisha manejiment au kuikemea ...
Tumesikia ya Benki ya Posta juu ya ubadhirifu na JINAI ya kughushi laikini hakuna hata kiongozi si wa shirika lenyewe,wizara au kiongozi wa ngazi za juu hata za kati kuwasafisha watendaji au kuwauliza ili watoe majibu...Imeongezeka tena ya kuwa Benki ya Posta imetumia zaidi ya DOLA za kimarekani Thelathini na tano elfu (35,000.00) karibu shillingi millioni arobaini na tatu kumpeleka india kwa ajiri ya kuchunguzwa afya makamu mwenyekiti wa BODI ambaye si mtendaji wala si mwajiriwa wa benki ya posta... Akiongozana na MKEWE pamoja na Nurse wote wakilipiwa kwa wiki mbili...hata kujiuliza kazi ya nurse kutoka Tanzania itakuwa ni ipi na kazi ya mke itakuwa ni ipi... KIMYA KIMYA serikali kama haipo...
na mengine mengi mengi... wako kimya kabisa kama hawaoni wala kusikia
Haya ya Bima ya afya yameibuka...nafikiri tuanze kupima IQ za wanaoomba uongozi Tanzania,si dhani kama viongozi wetu wengi wanao uwezo mzuri wa kufikiri bila kuwategemea washauri
Tumesikia ya Benki ya Posta juu ya ubadhirifu na JINAI ya kughushi laikini hakuna hata kiongozi si wa shirika lenyewe,wizara au kiongozi wa ngazi za juu hata za kati kuwasafisha watendaji au kuwauliza ili watoe majibu...Imeongezeka tena ya kuwa Benki ya Posta imetumia zaidi ya DOLA za kimarekani Thelathini na tano elfu (35,000.00) karibu shillingi millioni arobaini na tatu kumpeleka india kwa ajiri ya kuchunguzwa afya makamu mwenyekiti wa BODI ambaye si mtendaji wala si mwajiriwa wa benki ya posta... Akiongozana na MKEWE pamoja na Nurse wote wakilipiwa kwa wiki mbili...hata kujiuliza kazi ya nurse kutoka Tanzania itakuwa ni ipi na kazi ya mke itakuwa ni ipi... KIMYA KIMYA serikali kama haipo...
na mengine mengi mengi... wako kimya kabisa kama hawaoni wala kusikia
Haya ya Bima ya afya yameibuka...nafikiri tuanze kupima IQ za wanaoomba uongozi Tanzania,si dhani kama viongozi wetu wengi wanao uwezo mzuri wa kufikiri bila kuwategemea washauri