supermario
Member
- Dec 2, 2011
- 48
- 15
Mmiliki wa machinjio ya nyama Vingunguti anayechinja zaidi ya ng'ombe 500 kwa siku ambaye anatoza sh4300 kwa kila ng'ombe na mgawanyo uko kama hivi: 1500 ya mmiliki, 300 ya mchinjaji na 2500 kwa mkusanya hela wa halimashauri.
Kwa hesabu za haraka mfanyakazi wa halimashauri anapokea kiasi cha 1,250,000 kwa siku kwa idadi ya ng'ombe 500.
Hatoi risiti, halimashauri haitoi msaada wa aina yeyote ile mfano vifaa vya usafi nk. Huyu mfanyakazi anapata zaidi ya 37,500,000 kwa mwezi! hehehe kweli bongo tambarare! Hawezi kamatwa kwa kuhujuma ya aina yeyote ile? Hata ugaidi basi?
Kwa hesabu za haraka mfanyakazi wa halimashauri anapokea kiasi cha 1,250,000 kwa siku kwa idadi ya ng'ombe 500.
Hatoi risiti, halimashauri haitoi msaada wa aina yeyote ile mfano vifaa vya usafi nk. Huyu mfanyakazi anapata zaidi ya 37,500,000 kwa mwezi! hehehe kweli bongo tambarare! Hawezi kamatwa kwa kuhujuma ya aina yeyote ile? Hata ugaidi basi?