habari..
Najua wengi tunajua vita ya ufisadi unavyopigiwa kelele miaka kadhaa sasa..
Hapa nimesikia redioni kuna watumishi wa halmashauri geita wamefisadi bilion 2 juzi tu...
Nikakumbuka hii vita ni ngumu sana..
Kwa wanaohusika wakitaka ufisadi uishe kweli tanzania tuwe kama china au nchi zingine zilizoendelea..
Vita ya ufisadi ipiganwe kwa sheria ngumu hasa hasa ya kunyonga mafisadi, au kupigwa risasi hadharani...
Mtu kama joka lenye makengeza leo anakula kuku.. halafu unazuia watumishi wasifanye ufisadi..
Angekuwa amenyongwa hadharani na wenzake hapo wengine wangeogopa
Najua wengi tunajua vita ya ufisadi unavyopigiwa kelele miaka kadhaa sasa..
Hapa nimesikia redioni kuna watumishi wa halmashauri geita wamefisadi bilion 2 juzi tu...
Nikakumbuka hii vita ni ngumu sana..
Kwa wanaohusika wakitaka ufisadi uishe kweli tanzania tuwe kama china au nchi zingine zilizoendelea..
Vita ya ufisadi ipiganwe kwa sheria ngumu hasa hasa ya kunyonga mafisadi, au kupigwa risasi hadharani...
Mtu kama joka lenye makengeza leo anakula kuku.. halafu unazuia watumishi wasifanye ufisadi..
Angekuwa amenyongwa hadharani na wenzake hapo wengine wangeogopa