Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Nchi hii, ili ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma upungue kwa kiasi kikubwa(najua hauwezi kwisha), yoyote ataepatikana na hatia ya ubadhirifu, wizi na ufisadi wa mali ya umma, anyongwe hadharani mpaka kufa.
Tukiwaonea huruma, tunawaacha wanafia jela, ila sheria itamke wazi adhabu yao ni kunyongwa mpaka kufa. Tusipofanya hivyo, ufisadi nchi hii utakuwa ni donda ndugu na itafika hatua mafisadi watatudharau kwani tunalalamika na hakuna hatua za maana zinazochukuliwa dhidi yao.
Na sheria ingekuwa narudiia nyuma, tungeanza kunyonga wale wote waliohusika na kuifanya gesi yetu kuwa mali ya mabeberu kama alivyotuambia Mwendazake kuwa ile gesi kule kusini si yetu tena, bali ni mali ya mabeberu.
Ukiacha hii habari ya madini kuibiwa(kama ni ya kweli), kuna habari nyingine nimepenyezewa na mdau mmoja hapa jukwaani inayohusu mali asili zetu na watendaji wake(nimeisoma)ambayo kama ni ya kweli, basi nchi hii itakuja kutengeneza mabilionea wanaotokana na wizi wa mali za umma huku nchi na watu wake wakiendelea kubaki masikini.
It is so disgusting!
Taarifa hiyo siwezi kuiweka hapa na kwakuwa ignorance is bliss, nachoweza ni kuwapa pole tu wadanganyika wenzangu.
Tukiwaonea huruma, tunawaacha wanafia jela, ila sheria itamke wazi adhabu yao ni kunyongwa mpaka kufa. Tusipofanya hivyo, ufisadi nchi hii utakuwa ni donda ndugu na itafika hatua mafisadi watatudharau kwani tunalalamika na hakuna hatua za maana zinazochukuliwa dhidi yao.
Na sheria ingekuwa narudiia nyuma, tungeanza kunyonga wale wote waliohusika na kuifanya gesi yetu kuwa mali ya mabeberu kama alivyotuambia Mwendazake kuwa ile gesi kule kusini si yetu tena, bali ni mali ya mabeberu.
Ukiacha hii habari ya madini kuibiwa(kama ni ya kweli), kuna habari nyingine nimepenyezewa na mdau mmoja hapa jukwaani inayohusu mali asili zetu na watendaji wake(nimeisoma)ambayo kama ni ya kweli, basi nchi hii itakuja kutengeneza mabilionea wanaotokana na wizi wa mali za umma huku nchi na watu wake wakiendelea kubaki masikini.
It is so disgusting!
Taarifa hiyo siwezi kuiweka hapa na kwakuwa ignorance is bliss, nachoweza ni kuwapa pole tu wadanganyika wenzangu.