Aibu ( Shame)
Mafisadi (Mambo ya aibu)
Unaweza kuitwa fisadi kwa
1:Kushiriki '/Kutenda'
2:Kuwezesha
3:Kunyamazia
MTU hatari anayenyamazia ufisadi huku wengine wakiumizwa' hafai Nimeandika haya baada ya kuona Magufuli anawaambia watu wawazomee Mafisadi
Nikajiuliza ni wale waliokata majina ya wengine na kumpitisha yeye awe Mgombea ili akipata Urais kawalinde wao kwa ufisadi walioufanya wakati
Magufuli akinyamazia kwa miaka 22 serikalini ?
Hata Kama Ana nia nzuri atawezaje ndani ya (Mfumo) Ccm ambalo ndilo tatizo LA msingi LA umasikini wa Tanzania ?
Toka Kampeni Hakuna Mahali popote Magufuli ameahidi kupambaba Na ufisadi Unaowatesa watanzania wa Richmond 'Epa' Meremeta'Buzwagi uuzwaji wa Nyumba zaWananchi ;Dawa za kulevya Na Nyara za maliasili kama tembo nk
Anachofanya ni kuungaunga MANENO ya ufisadi wa wizi wa kuku Na vibaka kwenye Halimashauri ambako anajua atakamata dagaa Na wala Sio wale
Watuhumiwa wakubwa waliomuwezesha kufikia hapo alipo !!
Kubwa zaidi aliyebebwa hajui mwendo wa Safari !!
Kwa maoni yangu Mimi Leo Ni kujidanganya mwenyewe kudhani Kila Meneja anaweza kuwa Msimamizi Na kiongozi ?