Ufanye nini baada ya kuvunja ndoa?

Ufanye nini baada ya kuvunja ndoa?

Omesk

Member
Joined
Jan 24, 2020
Posts
34
Reaction score
233
Naomben masada wenu wa mawazo

Nimeachika ninawiki sasa ninawatoto 2 mmoja ana 7yrs na mwingine ana miez 8 sasa. Naomben masada wa mawazo nifanye nini kwa sasa ili nijikimu kimaisha?

Nina nurse mwaka mmoja na ADDO kwa ajiri ya kutoa dawa (kuuza duka la dawa). Nilikua nadukaa la dawa nimemuachia jamaa sababu alinifungulia yeye

Mkononi nina mil. 2. Nina lain za uwakala zote. Mtoto wangu wa 7yrs na binti wa kazi nina mpango wa kuwaacha kwa mama kwanza mpaka nijipange mimi nihangaike na huyu mdogo mgongoni

Nampango huyu 7yrs nimrudishe shule ya kawaida maana alikua eng. medium darasa la 3, sasa arudi kawaida sijui itafaa?

Naombeni mawazo yenu nifanyeje kwa sasa. Akili haipo sawa jamaa kaninyima vitu vyangu niliolewa na vitu vya ndani karibia vyote amevikataalia mpaka kitanda.
 
Sababu ya kuachana ni ipi?

Watoto wote bado wapo katika umri ambao kisheria mwanaume anaweza shurutishwa kuwahudumia...
 
Aisee 100% inabidi utulize akili kabsaa jipe mda wakutosha kabla ya kufanya maamuzi ya kukurupuka...ukikosea kidogo iyo wM itaisha kama upepo na utakosa mbele wala nyuma...Ushauri wangu JIPE mda kidogo ata miezi miwili,mitatu ivi akili itatulia na utasahau kwa kiasi flani mateso ya Ndoa JIPE MUDA kwasababu wahenga wanasema MUDA NI TIBA,,MUDA NI JIBU....
 
Sababu ya kuachana ni ipi?

Watoto wote bado wapo katika umri ambao kisheria mwanaume anaweza shurutishwa kuwahudumia...
Hatukua na ugomvi mkubwa zaidi kuishi kwa kutoelewana tu + tendon la hakuna kila siku ni kuona msg za wanawake tu in short nimeng
 
Sababu ya kuachana ni ipi?

Watoto wote bado wapo katika umri ambao kisheria mwanaume anaweza shurutishwa kuwahudumia...
Hatukua na ugomvi mkubwa zaidi kuishi kwa kutoelewana tu + tendon la hakuna kila siku ni kuona msg za wanawake tu in short nimeng
 
Kwanini mtoto anahama shule kwani baba kasitisha huduma au?na kuhusu kitu cha kufanya ili kujikimu kimaisha angalia kitu gani unachokipenda unachoweza kufanya na ukakimudu maana watu wengine wanaokuwaga na hela mkononi halafu ndo aanze kuomba ushauri nini cha kufanya wanaangukiaga pua, japokua kupata mawazo ya watu sio mbaya,hayo ni mawazo yangu tu.Take it or leave it
 
Naj
Aisee 100% inabidi utulize akili kabsaa jipe mda wakutosha kabla ya kufanya maamuzi ya kukurupuka...ukikosea kidogo iyo wM itaisha kama upepo na utakosa mbele wala nyuma...Ushauri wangu JIPE mda kidogo ata miezi miwili,mitatu ivi akili itatulia na utasahau kwa kiasi flani mateso ya Ndoa JIPE MUDA kwasababu wahenga wanasema MUDA NI TIBA,,MUDA NI JIBU....
Najipa muda nikiwa wapi?
 
Kwanini mtoto anahama shule kwani baba kasitisha huduma au?na kuhusu kitu cha kufanya ili kujikimu kimaisha angalia kitu gani unachokipenda unachoweza kufanya na ukakimudu maana watu wengine wanaokuwaga na hela mkononi halafu ndo aanze kuomba ushauri nini cha kufanya wanaangukiaga pua, japokua kupata mawazo ya watu sio mbaya,hayo ni mawazo yangu tu.Take it or leave it
Kasema hawezi kuhudumia watu aambao hawako mikononi mwake
 
Aisee 100% inabidi utulize akili kabsaa jipe mda wakutosha kabla ya kufanya maamuzi ya kukurupuka...ukikosea kidogo iyo wM itaisha kama upepo na utakosa mbele wala nyuma...Ushauri wangu JIPE mda kidogo ata miezi miwili,mitatu ivi akili itatulia na utasahau kwa kiasi flani mateso ya Ndoa JIPE MUDA kwasababu wahenga wanasema MUDA NI TIBA,,MUDA NI JIBU....
iyo miezi miwili mitatu atakuwa anakula upepo au?
 
Pole Sana Kwa Unayoyapitia
Tuliza Mawazo Halafu Ndiyo Utakuwa Sawa Sawa
Watoto Unamtoa English Medium Wakati Huu Ama Ada Shida
 
Cha msingi na Hakika nenda ustawi wa jamii kwanza wakupe tafsiri ya seke seke lote. Kama mlikua na ndoa na mmetofautiana jamaa atatakiwa ahudumie watoto, kama mlijenga nyumba ni ya watoto
 
Back
Top Bottom