gerald anthoni
Member
- Jan 27, 2018
- 80
- 60
Naitaj kufaham hii course ya afisa cadet inatolewaga kila Mwaka au ??
Na kama n kila Mwaka inaanza mwez gani na inachukuaga mda gani
Na kama n kila Mwaka inaanza mwez gani na inachukuaga mda gani
Hiyo Course Hutolewa Kwa Askari Wa JW Ambao Wana Sifa Hivyo Ukumbuke Raia Haruhusiwi Kamwe. Wanachukua Wenye Fani Mbalimbali,Naitaj kufaham hii course ya afisa cadet inatolewaga kila Mwaka au ??
Na kama n kila Mwaka inaanza mwez gani na inachukuaga mda gani
Naitaj kufaham hii course ya afisa cadet inatolewaga kila Mwaka au ??
Na kama n kila Mwaka inaanza mwez gani na inachukuaga mda gani
Hii mkuu haina vigezo vingi, kikubwa tu tembelea kwa Hussein pamba kali, Vunja bei au Robi one ili uwe recruited!Mi napenda kufahamishwa juu ya kozi ya afisa jinzi, hii nayo inakuwaje wakulu?
Asante sana mzee mwenzangu kesho mapema sana ntafika kwa vunja beiHii mkuu haina vigezo vingi, kikubwa tu tembelea kwa Hussein pamba kali, Vunja bei au Robi one ili uwe recruited!
Ukabila,kujuana,Rushwa,michongo,ndio imejaa jwtz,nilijaribu kuingia 2002,kila sehemu naulizwa kabila kama vile wanataka kutambika!!jwtz Haina tofauti na taasisi zingine za serikali kama idara za maji,dawasa,duwasa,tanroads,posta,ni madudu matupu katika kutoa ajira.Hiyo Course ni kwa ajili ya askari wa JWTZ na inatolewa chuo cha kijeshi pale Monduli(TMA),Kozi zipo za aina mbili ... Kuna kozi ya kawaida ambayo huwa na Session 3 kila moja huchukua miezi 3 na mapumziko ya wiki 2... Kipindi cha kwanza huwa ni kigumu kinachokusanya mazoezi magumu(6 weeks) yakiambatana na mitihani ya kijeshi kumjenga Askari kuwa kiongozi wa kijeshi(Officer) baada ya kufuzu hiki kipindi Officer cadet atapata mapumziko ya wiki 2 kisha kurudi kipindi cha pili ambacho ni cha wastani sio kigumu kama kile cha mwanzo... hapa cadet atafundishwa usafi,nidhamu uwajibikaji na maisha ya kiofficer kisha ataenda mapumziko ya mwisho na kurudi kipindi cha mwisho kinachohusu zaidi michezo na ushupavu!! Na kwa kozi ya pili hii huwa ni special course(mahitaji maalum) ambapo jeshi huwa linahitaji kiwango cha officers kulingana na mahitaji mfano madaktari,engeneers,wahasibu au hata fresh form six na hapa jeshi lenyewe linaandaa kozi ya kadet isiyo na masharti magumu ili tu lifanikishe kuwapata maofisa wote bila kuwapoteza kwasababu linaamini katika kundi hili wengi wamekuja kufuata mshahara na sio wito wa kazi ... !!! Hivyo basi kama unahitaji kuwa Officer au kuhudhuria kozi hii itakupasa kuingia kwanza JKT kisha JWTZ na baada ya hapo usaili ukipita vikosini uwe na sifa ambayo ni Form Six mwenye Div 1,2 au 3,Diploma,Degree na kuendelea... Utapata sifa ya kujiunga vinginevyo hiyo ya pili ni bahati kuipata mpka Jeshi lenyewe liwe na uhitaji!!
Ukabila,kujuana,Rushwa,michongo,ndio imejaa jwtz,nilijaribu kuingia 2002,kila sehemu naulizwa kabila kama vile wanataka kutambika!!jwtz Haina tofauti na taasisi zingine za serikali kama idara za maji,dawasa,duwasa,tanroads,posta,ni madudu matupu katika kutoa ajira.
Ukiwakuta wale wanaolinda mageti kwenye Kambi za jeshi,hawana tofauti na askali wa makampuni binafsi,kwa viburi,ujuaji,kelo,majungu,roho mbaya,
Ukabila,kujuana,Rushwa,michongo,ndio imejaa jwtz,nilijaribu kuingia 2002,kila sehemu naulizwa kabila kama vile wanataka kutambika!!jwtz Haina tofauti na taasisi zingine za serikali kama idara za maji,dawasa,duwasa,tanroads,posta,ni madudu matupu katika kutoa ajira.
Ukiwakuta wale wanaolinda mageti kwenye Kambi za jeshi,hawana tofauti na askali wa makampuni binafsi,kwa viburi,ujuaji,kelo,majungu,roho mbaya,
Mbona fani ya afya wanachukua uraiani acha usidanganye watu ,Kuna madaktari from kitaa koplo mnaa.Hiyo Course Hutolewa Kwa Askari Wa JW Ambao Wana Sifa Hivyo Ukumbuke Raia Haruhusiwi Kamwe. Wanachukua Wenye Fani Mbalimbali,
Kuanzia Kidato Cha Sita
Hujaelewa mzee!, (kuna kozi ya jwtz na kozi ya afisa kadet) ili ufanye kozi ya afisa kadet lazima uwe jwtz kwanzaMbona fani ya afya wanachukua uraiani acha usidanganye watu ,Kuna madaktari from kitaa koplo mnaa.
Yaani Kama jeshi Lina uhaba wa watu fulani wa fani zao hizo fasta mno wanachukuliwa. Afya Ni diploma ya yyte iwe famasi co laboratory wanakuchukua
Nimekuambia namie hivi naomba Tena unielewe ndugu sipo kushindana na wewe kuwa nionekana Kama najua kuliko wewe kwanza mie Ni kilaza so relax ndugu.Hujaelewa mzee!, (kuna kozi ya jwtz na kozi ya afisa kadet) ili ufanye kozi ya afisa kadet lazima uwe jwtz kwanza
Na je wanachukuaga hao vjna uko makambin kila Mwaka au ?? Naomba kufahamHiyo Course ni kwa ajili ya askari wa JWTZ na inatolewa chuo cha kijeshi pale Monduli(TMA),Kozi zipo za aina mbili ... Kuna kozi ya kawaida ambayo huwa na Session 3 kila moja huchukua miezi 3 na mapumziko ya wiki 2... Kipindi cha kwanza huwa ni kigumu kinachokusanya mazoezi magumu(6 weeks) yakiambatana na mitihani ya kijeshi kumjenga Askari kuwa kiongozi wa kijeshi(Officer) baada ya kufuzu hiki kipindi Officer cadet atapata mapumziko ya wiki 2 kisha kurudi kipindi cha pili ambacho ni cha wastani sio kigumu kama kile cha mwanzo... hapa cadet atafundishwa usafi,nidhamu uwajibikaji na maisha ya kiofficer kisha ataenda mapumziko ya mwisho na kurudi kipindi cha mwisho kinachohusu zaidi michezo na ushupavu!! Na kwa kozi ya pili hii huwa ni special course(mahitaji maalum) ambapo jeshi huwa linahitaji kiwango cha officers kulingana na mahitaji mfano madaktari,engeneers,wahasibu au hata fresh form six na hapa jeshi lenyewe linaandaa kozi ya kadet isiyo na masharti magumu ili tu lifanikishe kuwapata maofisa wote bila kuwapoteza kwasababu linaamini katika kundi hili wengi wamekuja kufuata mshahara na sio wito wa kazi ... !!! Hivyo basi kama unahitaji kuwa Officer au kuhudhuria kozi hii itakupasa kuingia kwanza JKT kisha JWTZ na baada ya hapo usaili ukipita vikosini uwe na sifa ambayo ni Form Six mwenye Div 1,2 au 3,Diploma,Degree na kuendelea... Utapata sifa ya kujiunga vinginevyo hiyo ya pili ni bahati kuipata mpka Jeshi lenyewe liwe na uhitaji!!