ha ha ha hii mingine ipo ipo sio?Huu ndio ule mti niliousoma form one kwamba ni kiumbe hai sasa.
Sio hii mingine imekaa kaa tu.
Inabidi tusikose panga na visu tukkingia maporini, maana unaweza liwa na miti chonganishi mfano wa huo mmeaAsante kwa somo zuri,kumbe kuna baadhi ya watu wanapotea maporini inawezekana iko mimea mikubwa inayokula watu...
Je kuna mmea unao kula mwanadamu
Ova
ukimaliza maelezo chini kuna video idownload utaona action zakeTuma hata kapicha mkuu tuweze kuuona na kuutambuatafafhari.
Nawasilisha hoja.
hapana hao inamfanyia digestionsio kuwa imembana tu...
ha ha ha kabisaaInabidi tusikose panga na visu tukkingia maporini, maana unaweza liwa na miti chonganishi mfano wa huo mmea
Sijasoma na sitasoma maana najua Mungu hakuagiza hivyo unavyotaka niamini.Kasome Mambo ya Walawi 11 utaelewa
Haya Petro ondoka uchinje ule!
Afadhali na wewe umetaja hapo, ila kwa kifupi ni kuwa "NYAMA HAIKUWA CHAKULA CHA MWANADAMU"Baada ya gharika
safi sana mkuuSayansi katika ubora wake, watu wa Geo Channels, Nature, Discovery tulishajulishwa kuhusu huu mmea...
hatariiDah!
We jamaa vegeterian nini?Asee we dhehebu gani mmh..?
Wapi Mungu aliruhusu ulaji wa nyama mpaka unatamka hilo neno?.
Ulaji wa nyama ni kutokana na uroho wa mwanadamu tu...