Habari wana jf,mimi ni mmojawapo kati ya wale ambao huwa tunasikia kuhusu MoU kitu ambacho kimekuwa kikipigiwa kelele sana na ndugu zangu waislam. Hebu mwenye ufahamu na hiki atufahamishe kuwa MoU ni kitu gani hasa, kipo kwa sababu gani na kwa manufaa ya nani? Naomba kufahamishwa