Ufafanuzi zaidi juu ya kauli ya Rais katika kumaliza changamoto ya umeme ndani ya Miezi sita

Serikali imedhamiria na ndio maana imeendelea kuwekeza pesa za kutosha kuhakikisha kuwa mradi unamalizika na kuliangazia Mwanga Taifa letu.
Nakuhakikishia kwa miezi hiyo 6 ni ngumu naeleza kile nichokifahamu. Tunajua miradi ipo na inaendelea lakini si kwa muda unaousema.
 
Wataalamu wetu wapo site muda wote na serikali yetu ipo macho muda wote kufuatilia miradi unavyoendelea,kwa kuwa inajuwa kuwa kukamilika kwake kutaleta Neema nchini kiuchumi.
Hivi wewe ndiye msemaji wa serikali au msemaji wa Rais? Kwann unajipachika madaraka yasiyokuhusu."Wataalam wako site" umewaona au Rais kakutuma uje utuambie?
 
Wewe jamaa ni k.enge kabisa, ume advance kwenye UCHAWA, hadi umeamua kuwa mfafanuzi wa kauli za Raisi mitaani!?, Tafuta kazi ya kufanya mbona michongo ipo mingi mbali na Uchawa!?.., watu kama nyie ndo mnasanabisha watanzania wote tuonekane hatuna akili, shenzi type.
Naendelea na kazi zangu kama kawaida na siyo kuwa sifanyi kazi.
 
Tutaendelea kutumia vyanzo mchaganyiko badala ya kutegemea chanzo kimoja tu cha umeme kama ilivyokuwa .lakini pia Bwawa la umeme la mwalimu Nyerere litatupatia umeme wa kutosha sanaa ambapo hata likipunguza uzalishaji kutokana na kupungua kidogo kwa kina cha maji bado hatutapata athari ya kukatika kwa umeme ,maana tutapata mwingine kupitia gas,jua na hata mabwawa mengine ambayo mitambo yake inaendelea kufanyiwa matengenezo na maboresho.
Bora ungekaa kimya
 
Rais wetu anaeleweka vizuri na ndio maana nimeweza kuandika hapa alichozungumza. Angekuwa haeleweki nisingeandika kitu maana nisingeelewa niandike nini,nisimamie nini,nitetee nini na nione kipi ni upotoshaji .

Kama anaeleweka kwanini uje kufanya ufafanuzi zaidi?
 
Nakuhakikishia kwa miezi hiyo 6 ni ngumu naeleza kile nichokifahamu. Tunajua miradi ipo na inaendelea lakini si kwa muda unaousema.
Uwe na subira utafurahi mwenyewe maana serikali ya Rais samia ikiahidi ni lazima itekeleze.
 
Rais samia alieleweka kwa watanzania wazalendo na wenye kumfuatilia mh Rais,lakini kuna watu wachache kwa chuki zao binafsi na maslahi yao binafsi wanajaribu kutaka kufanya upotoshaji hasa kwa wale wanaosubiri kusimuliwa kwa kila kitu na hivyo kutoa mwanya kwa hawa wapotoshaji kueneza uongo.
Sasa hili jukumu ulilojitwisha unaliona ni sahihi kwako? Rais ni taasis kubwa na ana vyombo vyenye mamlaka ya kusema, siyo wewe....unapotea njia.
 
Unadhani me limbukeni? Me najua mipaka yangu

Kama hujui ni kosa kuedit au kuyatumia maneno ya Rais Kwa the way ww unavyoelewa

Uchawa wako unakufanya mpaka uvuke mipaka yako

Ww na mdude Yule wa chadema hamna tofaut yoyote
Kunifananisha mimi na yule Mdude wa chadema ni matusi makubwa sana ,ni kunidhalilisha sana na kunivunjia heshima. Maana mimi siwezi nikawa na akili kama ya yule mvuta Bangi Mdude wa CHADEMA
 
Sasa hili jukumu ulilojitwisha unaliona ni sahihi kwako? Rais ni taasis kubwa na ana vyombo vyenye mamlaka ya kusema, siyo wewe....unapotea njia.
Ndugu yangu ningependa kukuelimisha kuwa Rais samia ni mali ya watanzania wote na sote tuna wajibu wa kumtetea Rais wote na siyo kuacha watu wafanye mambo yanayoleta sintofahamu na kuichonganisha serikali yetu na wananchi. Serikali ipo madarakani kwa kuwa sisi ndio tumeiweka ,hivyo ni wajibu wetu kuisemea kwa na kuwapinga wanaofanya upotoshaji.
 
Naendelea na kazi zangu kama kawaida na siyo kuwa sifanyi kazi.
Basi kaa kimya ficha upumbavu wako, watu wapo gizani biashara zimesimama, mtu anaamua kuingia jamii forums kupoteza mawazo ya kukaa bila umeme anakutana na Uchawa wako unajifanya kutoa ufafanuzi wa kauli ya Raisi kuhusu umeme. Dogo punguza uchawa, usifanye masihara watu wana hasira.
 
Kunifananisha mimi na yule Mdude wa chadema ni matusi makubwa sana ,ni kunidhalilisha sana na kunivunjia heshima. Maana mimi siwezi nikawa na akili kama ya yule mvuta Bangi Mdude wa CHADEMA

Yes mko sawa

Wote mpo kupotosha maneno ya Rais

Tofaut yenu ni Aina ya upotoshaji Tu
 
Yes mko sawa

Wote mpo kupotosha maneno ya Rais

Tofaut yenu ni Aina ya upotoshaji Tu
Mimi nazungumza hoja na siyo kufanya upotoshaji .Huyo wa CHADEMA ni aina ya mtu aliyekosa adabu,heshima na staha.ni mtu aliyekosa malezi mazuri ya wazazi wake. Ni mropokaji asiye na muunganiko wa akili na mdomo wake ndio maana hukurupuka kwa kila kitu na kuropoka ropoka hovyo.
 
Mkuu unajitahidi sana kufukuzia uteuzi,ila kwa sasa machawa tumetosha.
Kwa speed aliyonayo ana asilimia kubwa sana ya kulamba teuzi.
Serikali za Kiafrika wewe zisifie tu na kuzitetea, lazima uchomoke. Sema sijui kwanini Pascal Mayala hawajamuona siku zote hizo
 
Basi kaa kimya ficha upumbavu wako, watu wapo gizani biashara zimesimama, mtu anaamua kuingia jamii forums kupoteza mawazo ya kukaa bila umeme anakutana na Uchawa wako unajifanya kutoa ufafanuzi wa kauli ya Raisi kuhusu umeme. Dogo punguza uchawa, usifanye masihara watu wana hasira.
Serikali yetu inaendelea kupambana na changamoto hiyo kuhakikisha watanzania wanapata umeme wa kutosha. Ndio maana kwa sasa inataka kuongeza mega watti karibu 100 kila mwezi ili kuhakikisha umeme unapatikana kwa muda mwingi na uzalishaji wa shughuli zote zinazotegemea umeme zinaendelea vizuri.
 
Hapana mimi sitafuti uteuzi ndugu yangu,ila siwezi kukaa kimya kuona watu wanafanya upotoshaji wa makusudi juu ya kauli ya Mh Rais na hivyo kuwachanganya wananchi na kuwachonganisha na serikali yao ili waichukie bila sababu .
Samia alitoa kauli hiyo juu ya kumaliza mgao wa umeme ndani ya miezi sita!! Alikuwa anazungumza live na wote tulimsikia, sasa unapokuja kutuambia kuwa yale maneno yake hayakuwa na maana ya kumaliza tatizo la uhaba wa umeme kwa muda huo bali muda huo utatumiwa kukarabati mitambo chakavu!! Sasa kama hiyo mitambo chakavu ikikatarabatiwa basi tunategemea kuwa mwisho wa mgao kwani wametuaminisha kuwa hitilafu ya hiyo mitambo ndio sababu ya adha hii ya umeme!! Ingawa ukweli ni kuwa wanatuongopea kama kawaida yao.
 
Samia alitoa kauli hiyo juu ya kumaliza mgao wa umeme ndani ya miezi sita!! Alikuwa anazungumza live na wote tulimsikia, sasa unapokuja kuambia kuwa yale maneno yake hayakkuwa na maana ya kumaliza tatizo la uhaba wa umeme kwa muda huo bali muda huo utatumiwa kukarabati mitambo chakavu!! Sasa kama hiyo mitambo chakavu ikikatarabatiwa basi tunategemea kuwa mwisho wa mgao kwani wametuaminisha kuwa hitilafu ya hiyo mitambo ndio sababu ya adha hii ya umeme!! Ingawa ukweli ni kuwa wanatuongopea kama kawaida yao.
Rais samia alieleza vizuri sana juu ya chanzo chake na suluhisho la kudumu kumaliza tatizo hilo la umeme. Kwa hiyo uwe na imani na serikali yetu chini ya uongozi madhubuti wa Rais samia.
 
Hapana mimi sitafuti uteuzi ndugu yangu,ila siwezi kukaa kimya kuona watu wanafanya upotoshaji wa makusudi juu ya kauli ya Mh Rais na hivyo kuwachanganya wananchi na kuwachonganisha na serikali yao ili waichukie bila sababu .
Umeandika sana lakini unashindwa kuweka hesabu sawia na muda.
Huo muda wa miezi sita Ina maana kuwa MVUA za masika zitakuwa zimeshaanza na kujaza mabwawa umeme utakuwepo fully.
Ila je Kuna nini kitakachofanyika ili lisijirudie hili zimwi!
Yaani hata wewe unawaona waTanzania Hawa Manya..i!!!
 
Rais samia alieleza vizuri sana juu ya chanzo chake na suluhisho la kudumu kumaliza tatizo hilo la umeme. Kwa hiyo uwe na imani na serikali yetu chini ya uongozi madhubuti wa Rais samia.
Siwezi kuwa na imani na Samia na serikali yake kwani ni mafisadi ndio maana wanafanya mambo yao kwa siri. Mfano hai ni huyo mtu waliyemuuzia mradi wa Nssf kule Kigamboni!! Kwavile wamempa mwarabu ndio maana wanaogopa reaction ya wananchi kuwa wanauza nchi kwa wajomba zake Samia!
 
Back
Top Bottom