Ufafanuzi wa kozi hizi za technology

Ufafanuzi wa kozi hizi za technology

Joined
Feb 24, 2018
Posts
26
Reaction score
7
Habari zenu wakuu. Naombeni msaada wa ufafanuzi wa kozi hizi kwa ngazi ya cheti na diploma unatakiwa ufaulu nini na nini kwa mwanafunzi wa O-level

1.Computing and information communication technology

2.computing and information technology

3.information technology

4.information communication technology

5.computer sciences

6.computer engineering

7.communication system technology

Na je ukisoma moja ya kozi tajwa hapo unakuwa unashughulika na kazi gani na pia utaweza kujiajili? Naombeni msaada siku zimekwisha sina cha kuwajibu wazazi wanataka nikaripoti shule nikasome HKL ,Msaada tafadhali
 
Kama unaufaulu wa mathematics physics na English unaweza soma kwa certificate ili badae uchukue diploma. Ila kwa certificate unaweza chukua computer engineering hapa utadili pia na computer maintenance ambapo principles zake unaweza kuzitumia pia hata kwenye vifaa vya kielectronic eg simu. Pia hizo kozi zote huwa zinamuingiliano hivyo unaweza soma certificate of computer engineering badae ukachukua diploma yoyote kati ya hizo tajwa hapo juu kwani tayari utakuwa ushaona mwelekeo halisi.
 
Kama unaufaulu wa mathematics physics na English unaweza soma kwa certificate ili badae uchukue diploma. Ila kwa certificate unaweza chukua computer engineering hapa utadili pia na computer maintenance ambapo principles zake unaweza kuzitumia pia hata kwenye vifaa vya kielectronic eg simu. Pia hizo kozi zote huwa zinamuingiliano hivyo unaweza soma certificate of computer engineering badae ukachukua diploma yoyote kati ya hizo tajwa hapo juu kwani tayari utakuwa ushaona mwelekeo halisi.
Ipo hivi yani

Phy-D

Mathe-C

English-C
 
Back
Top Bottom