Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,242
- 36,281
Hodi humu, nimetoroka MMU kidogo nipate ufafanuzi...
Jana nilioangalia tukio la uwanja wa ndege ukifunguliwa rasmi na mkuu wa nchi. Mambo mengi yalitukia pale Ila naombeni mnifafanulie kitu kimoja....
Kati ya walinzi wa mkuu kuna wanaume 2 huwa wanakuwa wameshika vibegi vyeusi mkononi kama vya laptop hivii... Na wanakuwa wawili mmoja upande mmoja mwingine kwingine.
Hawa nimewaona mara kadhaa mkuu akiwa kwenye matukio ya kuzindua au hafla flani flani.
He, hivyo vibegi huwa na nini? Kwanini wawe navyo wawili 2. Kama ni kwa ajili ya ulinzi kwa nini wasiende kidijitali kutumia vitu vya kidijitali maana hapo naona kama wapo analogy....
Au ni pesa ikitokea mkuu anataka kumpa mtu cash kwa sapraisi kama milioni hivii....
Mwenye ufahamu anieleweshe tafadhali.
Kasie Mahaba Matata.
Jana nilioangalia tukio la uwanja wa ndege ukifunguliwa rasmi na mkuu wa nchi. Mambo mengi yalitukia pale Ila naombeni mnifafanulie kitu kimoja....
Kati ya walinzi wa mkuu kuna wanaume 2 huwa wanakuwa wameshika vibegi vyeusi mkononi kama vya laptop hivii... Na wanakuwa wawili mmoja upande mmoja mwingine kwingine.
Hawa nimewaona mara kadhaa mkuu akiwa kwenye matukio ya kuzindua au hafla flani flani.
He, hivyo vibegi huwa na nini? Kwanini wawe navyo wawili 2. Kama ni kwa ajili ya ulinzi kwa nini wasiende kidijitali kutumia vitu vya kidijitali maana hapo naona kama wapo analogy....
Au ni pesa ikitokea mkuu anataka kumpa mtu cash kwa sapraisi kama milioni hivii....
Mwenye ufahamu anieleweshe tafadhali.
Kasie Mahaba Matata.