Naomba mnijuze wana JF kwani mbunge hutambulikaje maana ninatatanishwa sana na suala la wanaedai mbunge wa CCM (Sumari) aliefariki akiwa bado hajaapishwa,ilikuwaje na itakuwaje?
1.Je alikuwa anapata malipo yote sawa na wabunge wengine?
2.Kama invyosemekana hakuwa ameapa atapata kutendewa kama walivyotendewa wabunge wengine walifariki nina maana atafunikwa hadi bendera ya taifa?
1.Je alikuwa anapata malipo yote sawa na wabunge wengine?
2.Kama invyosemekana hakuwa ameapa atapata kutendewa kama walivyotendewa wabunge wengine walifariki nina maana atafunikwa hadi bendera ya taifa?