lakini kwa waswahili wengi na hapa nchini tunalitambua kama jina la marehemu.., unajua ukienda sehemu kama Ghana au Japan kuna majina ya watu ambayo ukiyasema hapa Bongo yatakuwa either tusi au kiungo cha dada zetu ambacho huwezi kutamka kwenye umati wa watu...
Kwahiyo mkuu... "When in Rome Live Like Romans"