Nkissa
Member
- Sep 7, 2012
- 51
- 9
Naomba kuwauliza wana jamvi,Mimi ninamzazi mmoja yaani mama ndo aliyebaki kwani Baba yangu alifariki miaka 8 iliyopita kwa upande wetu tumezaliwa wengi na tayari tuna watoto wa kuwazaa wanafikia kama 27 ( wajukuu wa mama ) cha kushangaza mama yetu ameanza tabia ya uzinzi na mbaya zaidi anamleta jamaa mpa home na kulala nae kitanda alichokuwa analala na marehemu Baba yetu,na pia anakuja nae mjini tunapoishi na kupokelewa na kaka yetu na analala na huyo jamaa kwa kaka.mimi hiyo hali napingana nayo na imenifanya nitengwe kwani nilikereka sana nilipogundua.
Nawasilisha
Nawasilisha