Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Hakuna hajambo hata ya kutoa ufafanuzi mkuu maana mpaka sasa tunajua pumba na mchele
kwa uchungu napenda kukosoa uwongo uliosemwa na huyo mama kuwa Lema alimtaka kimapenzi.
Katika madiwani waliofukuzwa hakuna diwani wa Olasiti.
Madiwani waliofukuzwa ni kata ya Themi, Kijenge, Kaloleni na Elerai, yeye alikuwa wa kuteuliwa, kama yeye walimtaka kimapenzi akakataa na wenzie pia walitakwa kimapenzi?
Issue kubwa kwake ni hapo kutongozwa au kuvuliwa uanachama na CDM?
Ni bora ccm wakaachana na mbinu za kizamani,sio vibaya wajipange kuanza mwanzo maana 2015 Watanzania watachukua nchi yao.
kwa uchungu napenda kukosoa uwongo uliosemwa na huyo mama kuwa Lema alimtaka kimapenzi.
Katika madiwani waliofukuzwa hakuna diwani wa Olasiti.
Madiwani waliofukuzwa ni kata ya Themi, Kijenge, Kaloleni na Elerai, yeye alikuwa wa kuteuliwa, kama yeye walimtaka kimapenzi akakataa na wenzie pia walitakwa kimapenzi?
Mleta mada mbona unawanga mchana kweupe? Unaposema hajatongozwa una ushaidi gani? We ndo huwa unamtongozea lema?
kwa uchungu napenda kukosoa uwongo uliosemwa na huyo mama kuwa Lema alimtaka kimapenzi.
Katika madiwani waliofukuzwa hakuna diwani wa Olasiti.
Madiwani waliofukuzwa ni kata ya Themi, Kijenge, Kaloleni na Elerai, yeye alikuwa wa kuteuliwa, kama yeye walimtaka kimapenzi akakataa na wenzie pia walitakwa kimapenzi?