Ufadhili

Ufadhili

Mrs chaudevu

Member
Joined
Dec 13, 2012
Posts
21
Reaction score
1
Habari za saiz wanajamiiforum, Kwa jina naitwa Martha Christian nasoma chuo kikuu Tumaini Makumira mkoa wa Arusha mwaka wa kwanza, faculty of Humanity and social science(EDUCATION). Natafuta mfadhili au ufadhili kwa mtu kampuni au shirika atakayeweza kunsaidia katika kujisomea elimu ya MASTERS baada ya kumaliza degree mwaka 2015 mwez wa 7. naomba sana msaada wenu kama Watanzania wenzangu, kwa mawasiliano zaidi, 0657440107 au email -mramba.martha@yahoo.com ahsanten
 
Habari za saiz wanajamiiforum, Kwa jina naitwa Martha Christian nasoma chuo kikuu Tumaini Makumira mkoa wa Arusha mwaka wa kwanza, faculty of Humanity and social science(EDUCATION). Natafuta mfadhili au ufadhili kwa mtu kampuni au shirika atakayeweza kunsaidia katika kujisomea elimu ya MASTERS baada ya kumaliza degree mwaka 2015 mwez wa 7. naomba sana msaada wenu kama Watanzania wenzangu, kwa mawasiliano zaidi, 0657440107 au email -mramba.martha@yahoo.com ahsanten
Ni vizuri ukamaliza hiyo bachelor degree kwanza maana criteria ya udahilli kwa masters lazima uwe una cheti cha degree ya kwanza na ni ngumu kupata scholarships ya kusoma bila kuwa na sifa za kuingia kwenye hatua hiyo
 
Jitahidi upate first class,Watakuchukua kama tutorial assistant kwa mwaka mmoja huku wakikupa mshahara,then watakusomesha masters(Makumira wanasomeshaga University of Natal--kuna lecturers wa hapo nafahamu wamesoma kwa njia hiyo).....cha msingi jitahidi kusoma kwa bidii,upate first class,jifunge mkanda ukaze na buti sambamba na kumuomba Mungu akusaidie.....ila kumbuka,kuwa na masters sio kuwa na maisha mazuri,be determined and focus on what you need at the moment baaasss.mengine yatakuja tu
 
Back
Top Bottom