_ID
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,408
- 7,405
Vya serikali vinaanza lini kupokea?Ila kwa vyuo vya veta vya serikali bado hawajaanza kupokea ila binafsi wanapokea
Vya serikali vinaanza lini kupokea?Ila kwa vyuo vya veta vya serikali bado hawajaanza kupokea ila binafsi wanapokea
umenifurahisha sana eti "vyuo vya veta vya serikali" ndugu hamna maneno ya kusema vyuo vya veta vya serikali na vyuo vya veta vya binafsiIla kwa vyuo vya veta vya serikali bado hawajaanza kupokea ila binafsi wanapokea
Ila wanasemajeumenifurahisha sana eti "vyuo vya veta vya serikali" ndugu hamna maneno ya kusema vyuo vya veta vya serikali na vyuo vya veta vya binafsi
kifupi hamna vyuo vya veta vya binafsi, ukisema neno VETA tayari ni Serikali hiyo, au niseme ulivyosema wewe ni sawa sawa na kusema "TANESCO ya Serikali na TANESCO ya Binafsi" kitu ambacho hakipo!!!Ila wanasemaje
Vyuo vyote vinavyotoa mafunzo ya ufundi viko chini ya VETA bro. Wanachomilikiwao ni majengo tu ila wanafunzi wote ni wa VETA na vipo kuosaidia veta kutoa mafunzo sababu haiwezi kudahili wanafunzi wote. Ndo maana nikasema vyuo vya veta vya binafsi. Veta hitoa mitihani kila mwaka kwa vyuo hivi na wanaofaulu hupewa vyeti na veta.kifupi hamna vyuo vya veta vya binafsi, ukisema neno VETA tayari ni Serikali hiyo, au niseme ulivyosema wewe ni sawa sawa na kusema "TANESCO ya Serikali na TANESCO ya Binafsi" kitu ambacho hakipo!!!
haya bwana naona hatujaelewana, ila sawaVyuo vyote vinavyotoa mafunzo ya ufundi viko chini ya VETA bro. Wanachomilikiwao ni majengo tu ila wanafunzi wote ni wa VETA na vipo kuosaidia veta kutoa mafunzo sababu haiwezi kudahili wanafunzi wote. Ndo maana nikasema vyuo vya veta vya binafsi. Veta hitoa mitihani kila mwaka kwa vyuo hivi na wanaofaulu hupewa vyeti na veta.
haya bwana naona hatujaelewana, ila sawa