dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,390
- 19,396
Aisee! Kumbe iko hivoKozi za muda mfupi (miezi mitatu) na mrefu (mwaka so endapo ukipiga level 1,2 na 3 inakuwa ni miaka mitatu mkuu)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee! Kumbe iko hivoKozi za muda mfupi (miezi mitatu) na mrefu (mwaka so endapo ukipiga level 1,2 na 3 inakuwa ni miaka mitatu mkuu)
Ila mie nahisi itakuwa ni miezi mitatu.Aisee! Kumbe iko hivo
Hata mimi, maana hiyo miaka mitatu ni gharamaIla mie nahisi itakuwa ni miezi mitatu.
Hata mimi, maana hiyo miaka mitatu ni gharama
Ni miezi 6 mkuu, kazi kwakoHata mimi, maana hiyo miaka mitatu ni gharama
Sikudhani kama itamudu
Aisee! Ngoja nimstue dogo yupo tu hapaNi miezi 6 mkuu, kazi kwako
Hata wewe unaweza kuongeza skills pia, siyo mbaya...Aisee! Ngoja nimstue dogo yupo tu hapa
Asante!!!Ni miezi 6 mkuu, kazi kwako
Naam! Ni kweli kwa sasa inabidi mtu uwe na fani nyingi.Hata wewe unaweza kuongeza skills pia, siyo mbaya...
Binafsi huwa naona vyema endapo mwanaume/baba atakuwa na basic skills ya vitu kadha wa kadha...
Tu pamoja mkuuNaam! Ni kweli kwa sasa inabidi mtu uwe na fani nyingi.
Wakitoa tena, mwakani nitaenda ila Mwaka huu, ninechemka kabisa.
Duh hatari sana hii mkuu.Nasikia kwa Veta Chang'ombe watuma maombi wameshafikia idadi ya 20k wakati Tanzania nzima wanatakiwa about 12k ...
Hali si hali...
Mambo ni magumu, watu wameona fursa hii...Duh hatari sana hii mkuu.
Inategemea chuo ni mkoa gani. Kuna baadhi ya kozi hazipo mkoa fulaniNataka kuwa fund simu hiv huko naweza nikajifunza katika hili ??
Vip majina yameshatoka au bado?Inategemea chuo ni mkoa gani. Kuna baadhi ya kozi hazipo mkoa fulani
mfano veta Dodoma ufundi simu ipo
Karibu zote ni 3 yrs ila 2 ni exit pointDuuh! Kwani Veta kuna kozi za miaka mitatu mimi najua hazizidi miaka miwili
Jaman mlioapply veta kipawa&chang'ombe vp kuna mtu kaitwa huko??? Maana masomo yanaanza jtatu tarehe 17 lakn mpaka saiz naona No sms No call. Ndo kwamba nmekosa au??Nasikia kwa Veta Chang'ombe watuma maombi wameshafikia idadi ya 20k wakati Tanzania nzima wanatakiwa about 12k ...
Hali si hali...