Uenezi CHADEMA jukumu la nani?

Uenezi CHADEMA jukumu la nani?

Nimefurahi sana kupata ufafanuzi kutoka kwako bwana Kibanga. Naendelea kushauri.

Chadema waone umuhimu wa kuwa na Katibu mwenezi badala ya kuwa na kurugenzi yenye mchanganyiko wa majukumu.

Ukitazama hapo unaona Kiongozi wa hii kurugenzi ya uenezi Hemedi Alli ni mgeni masikioni na machoni pa wengi. Vyombo vikubwa vya habari Sidhani kama anafahamika au anavitumia vya kutosha.


Nahitimisha kuwa kuna tatizo la ki muundo wa chama na hii imesababisha chama kujieneza kwa njia za kimafia kupitia watu kama Mdude , Mange, na wengine.

Tatizo hili linawapa kazi ngumu Katibu mkuu na mwenyekiti kufanya shughuli za uenezi na kuwafanya kuzoeleka. Ndio sababu Polepole anamparamia Mbowe .Angalikuwapo Katibu mwenezi mwenye nguvu angewalinda viongozi wa juu kwa ku absorb pressure za chini na kufanya baadhi ya Press.

Chadema pokeeni ushauri huu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nadhani kwa mfumo wao tumezoea kumuona katibu mkuu hasa kipindi cha Slaa kuwa front.
pengine imewekwa makusudi maana ukweli ulio wazi mwenezi, akifanya unavyo taka wewe atakuwa mtu mashuhuri na maarufu kuliko chama.
 
Chama kiache usanii, waweke bajeti wawawezeshe vijana. Mwenyekiti mbowe ndie kiongozi mkuu, ndie msemaji, ndio mwenezi nk .. at least mdude alikua anaisaidia chadema japo ni kichwa maji.


Sent using Jamii Forums mobile app

Naamini wanaogopa Popularity ya mwenezi.
Ni hatare sana kwa hivi vyama vyetu na sisi binadamu kiasili tulivyo.
si unakumbuka ya Nape ilifika kipindi tukaona Bila Nape mambo hayaendi na hata yeye Nape alivimba pembe akiamini bila yeye mambo hayaendi.

so hii uenezi unayotaka wewe ni ngumu sana kuipata.
 
Naamini wanaogopa Popularity ya mwenezi.
Ni hatare sana kwa hivi vyama vyetu na sisi binadamu kiasili tulivyo.
si unakumbuka ya Nape ilifika kipindi tukaona Bila Nape mambo hayaendi na hata yeye Nape alivimba pembe akiamini bila yeye mambo hayaendi.

so hii uenezi unayotaka wewe ni ngumu sana kuipata.
Kibanga nimekuelewa sana . Umashuhuri na kingine mafungu ya fedha. Nakumbuka Chadema ni Msingi viongozi wa juu walijipa hizo trip . Nyalandu alijitahidi kueneza kwenye eneo lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefurahi sana kupata ufafanuzi kutoka kwako bwana Kibanga. Naendelea kushauri.

Chadema waone umuhimu wa kuwa na Katibu mwenezi badala ya kuwa na kurugenzi yenye mchanganyiko wa majukumu.

Ukitazama hapo unaona Kiongozi wa hii kurugenzi ya uenezi Hemedi Alli ni mgeni masikioni na machoni pa wengi. Vyombo vikubwa vya habari Sidhani kama anafahamika au anavitumia vya kutosha.


Nahitimisha kuwa kuna tatizo la ki muundo wa chama na hii imesababisha chama kujieneza kwa njia za kimafia kupitia watu kama Mdude , Mange, na wengine.

Tatizo hili linawapa kazi ngumu Katibu mkuu na mwenyekiti kufanya shughuli za uenezi na kuwafanya kuzoeleka. Ndio sababu Polepole anamparamia Mbowe .Angalikuwapo Katibu mwenezi mwenye nguvu angewalinda viongozi wa juu kwa ku absorb pressure za chini na kufanya baadhi ya Press.

Chadema pokeeni ushauri huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Nakuonea huruma sana umetoa ushauri mzuri kwa wajuaji wa kila kitu na watakuona unatumika,subiria malipo ya kejeri na kubezwa mkuu.
 
Chadema mwenezi wa nini wakati kuna waanezi wa kujitolea kama ndugai,msukuma,kibajaji haipiti week hawajaizungumzia chadema itakuwa matumizi mabaya ya ruzuku ku ajiri afisa habari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamjaanza kuongea leo kuwa chadema imekufa,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Yule TUMAINI hajiamini kabisa. Chadema mnakosea sana. Ishu za uchaguzi acha ziongelewe na Golugwa TUMAINI MAKENE KAPOOZA sana . Mutaona ni ishu ndogo lakini Uchaguzi kila eneo ni muhimu.

CCM walimtumia Bashiru kutangaza kipyenga cha kujipitishapitisha na alifanikiwa .Tumaini bado mvulana sana kama checkbob wa Form Three
 
Yule TUMAINI hajiamini kabisa. Chadema mnakosea sana. Ishu za uchaguzi acha ziongelewe na Golugwa TUMAINI MAKENE KAPOOZA sana . Mutaona ni ishu ndogo lakini Uchaguzi kila eneo ni muhimu.

CCM walimtumia Bashiru kutangaza kipyenga cha kujipitishapitisha na alifanikiwa .Tumaini bado mvulana sana kama checkbob wa Form Three
Kama kuna mwenye clip ya Tumaini akiongelea uchaguzi aiweke uone alivyokuwa mnyonge
 
Kazi ya uenezi Chadema imekosa kiongozi. Makene anasimama kama afisa habari Msigwa lakini mwenezi hakuna !!!!!!Chadema ifanye mabadiliko iwe na idara ya uenezi. Inawezekana idara hii ndio inapaswa kutumia fungu kubwa la fedha za chama ndio maana viongozi hawapendi kuwa na kitengo imara cha uenezi badala yake Mwenyekiti, Katibu mkuu wakuu wa jumuiya ndio hao hao wanajigawia fungu na majukumu ya uenezi.

CCM wana Polepole na amepewa meno japo si mwenye kiwango bora lakini at least anafanya majukumu yake bila kubugudhiwa. Amekuwa bingwa wa siasa chokonozi za hovyohovyo.

Chadema nao wangekuwa na mwenezi na wamwezeshe ili kabla ya kumfikia mwenyekiti au Katibu Polepole akutane na mwenezi mwenzie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo wa utawala wa nyumbani kwako unafanana na wa wengine?

Kwanini mnataka cdm ifanane na ccm kimfumo?
 
Kwa miaka mingi nimekuwa nikifuatilia namna Chadema inavyo jitangaza na kutafuta ufuasi. Katika jambo linalonipa maswali ni kutosikika kwa idara yake ya uenezi.

Sijafahamu vizuri kitengo cha uenezi kama kipo kwa jina jingine au hakipo na shughuli zake zimeelekezwa kwenye ngazi ipi. Ukifuatilia CCM kitengo cha uenezi miaka yote kinapewa nguvu na penda usipende, mwenezi wa CCM anafahamika katika ngazi ya taifa na MIKOA mikubwa.

Sijafahamu kama tatizo la Chadema ni muundo, mfumo wa utendaji au kumekuwa na waenezi dhaifu miaka yote.

Kuna baadhi ya majina kama Mtelemwa, Mushi, Makene sifahamu hawa ni maafisa habari au waenezi.

Kama kweli Chadema hawana hiyo ngazi ya uenezi basi muundo wao unawapunguzia nguvu ya kujiuza kwa wananchi. Ni vizuri Chadema wakatathmini muundo na nguvu wanayopaswa kuzipa idara zake .

Waenezi ni muhimu ngazi zote kuanzia taifa, Kanda, Mikoa , Wilaya, Tarafa na Kata. Si nafasi ya kupuuza.
Umepitia na usemi kwamba usilolijua ni sawa na usiku wa giza
 
Chadema Ni chama Cha makambale wote wana ndevu(kila mtu msemaji wa chama)
 
Back
Top Bottom