Uendeshaji mbovu usiojari watumiaji wengine wa Barabara kwa Magari ya serikali

kapolo

JF-Expert Member
Feb 2, 2012
303
101
Magari ya serikali yamekuwa yakilalamikiwa sana kwa Uendeshwaji mbaya usiojari usalama kwa watumiaji wengine wa barabara.

Mwaka jana walinisababishia hasara ya kuchana tairi nilipokuwa nikijaribu kuwakwepa hawa ndugu maeneo ya Mkata.
IMG_0889.jpg


Last week wamemkosa kosa mtoto kwenye eneo la makazi.

Nashauri wajijengee barabara zao wawe wanapita wenyewe. Kuna muda huwa nawaza labda wenzetu wana miili ya spare.

Askari wa usalama barabarani hawana cha kuwafanya hawa ndugu zetu wenye roho za chuma.

IMG_0889.jpg
 
Vurugu tupu bara barani hasa barabara ya Morogoro road kiwe kipindi cha Bunge.

Vile vile kila Dereva anae endesha Gari lolote tuu la Serikali basi bara bara inakuwa ya kwakee pamoja na trafk pia ni wa kwake.

Labda tuu ingekuwa watu maalum wajulikanao sawa lakini mpaka mkurugenzi tuu na watu wengine wa serikali wana endesha magari yao vile watakavyo kwakuwa tuu ni makubwa ki uwezo lakin wana sahau ni kodi zetu.

Mi nasema tuu ningekuwa mkuu wa Ma trafk hawa ningewanyoosha
 
Bara bara ile mtu anakimbiza gari speed 180 site sio yake... Na akichelewa kurudi saiti yake anakulazimisha umpishe kibabe... Hawa nawaza hata tusi gani niwatukanee M..bwa hawaa

Ndo kilichonikuta, jamaa walikuwa watatu wameumana, kwenye Kona Hamad hawa hapa ikabidi nitoke barabarani, pembeni kulikuwa na nguzo imekatwa ikachana tairi. Kibaya zaidi kwenye Gari nilikuwa na mtoto.Nilitoa laana zote
 
Vurugu tupu bara barani hasa barabara ya Morogoro road kiwe kipindi cha Bunge.

Vile vile kila Dereva anae endesha Gari lolote tuu la Serikali basi bara bara inakuwa ya kwakee pamoja na trafk pia ni wa kwake.

Labda tuu ingekuwa watu maalum wajulikanao sawa lakini mpaka mkurugenzi tuu na watu wengine wa serikali wana endesha magari yao vile watakavyo kwakuwa tuu ni makubwa ki uwezo lakin wana sahau ni kodi zetu.

Mi nasema tuu ningekuwa mkuu wa Ma trafk hawa ningewanyoosha

Wanajifanyaga wao ndo wana haraka kuliki yeyote. Kwa nini wasiwe wanapanga safari zao mapema ili kuondoa haya maspeed yasiyo na ulazima
 
Mwenyezi Mungu atunusuru Insha'Allah, katika mitego yao. Maana wanachokifanya hawa madereva wenzetu ni ukiukwaji wa sheria na maadili ya Udereva na Matumizi ya Barabara.

Allah (S.W) ndiye muamuzi wa haki☝️

Watakipata hicho wanachokitafuta kwa kuharakisha. Chombo cha Moto & Barabara havina mwenyewe!

Washanichezea sana hiyo michezo yao yakishenzishenzi.
 
Magari ya serikali yamekuwa yakilalamikiwa sana kwa Uendeshwaji mbaya usiojari usalama kwa watumiaji wengine wa barabara.

Mwaka jana walinisababishia hasara ya kuchana tairi nilipokuwa nikijaribu kuwakwepa hawa ndugu maeneo ya Mkata.
View attachment 2223507

Last week wamemkosa kosa mtoto kwenye eneo la makazi.

Nashauri wajijengee barabara zao wawe wanapita wenyewe. Kuna muda huwa nawaza labda wenzetu wana miili ya spare.

Askari wa usalama barabarani hawana cha kuwafanya hawa ndugu zetu wenye roho za chuma.

View attachment 2223506

Ninakazia: gari msafara wa Sirro waliuwa mtoto msafiri katika bus la abiria aliyekuwa katelemka kuchimba dawa kwa Makunganya Morogoro siku si nyingi zilizopita.

Habari za namna hiyo (kama za msafara wa Sirro) zimezoeleka kuhusisha magari yao STJ, STK, STL, DFP, DFPA, PT nk.

Kimsingi hawafuati sheria, ni waendeshaji wabaya, wanakera na ni aibu kujinasibu kuwa ni magari ya serikali.

Disgusting!
 
Wanajifanyaga wao ndo wana haraka kuliki yeyote. Kwa nini wasiwe wanapanga safari zao mapema ili kuondoa haya maspeed yasiyo na ulazima
Hakafu kwa kwenda opposite direction ya one way hawajambo... Pale saint Joseph Dar, au Azam marine kuelekea Central police huruhusiwi kupanda... Lakini utawakuta madereva wa serikali na polisi no wanavunja sheria pale
 
Back
Top Bottom