JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Magoli ya Bayern yamefungwa na Leroy Sane, Segre Gnabry, Harry Kane na Mathy Tel wakati United wafungaji ni Rasmus Hojlund na Casemiro (mawili).
Huo ni mchezo wa tatu mfululizo kwa United kupoteza, michezo iliyopita ikifungwa na Arsenal (3-1) na Brighton (3-1) katika Premier League.