UEFA Champions League & UEFA Europa League draw

TAARIFA MUHIMU...
Ndugu msomaji unaarifiwa kuwa itakapojiri tarehe 21/03 Ulimwengu wa Soka utakuwa kwenye maadhimisho ya siku ya kuzaliwa ya Mtume na Nabii wa mwisho wa Soka Ronaldo de Assis Moreirra aliezaliwa katika viunga vya Port Alegre nchini Brazil...

Taarifa hii imetolewa na kusambazwa kwenu na msemaji wa AC Milan Afrika Mashariki ambae pia ni afisa habari wa mchezaji huyo barani Afrika Gang Chomba.

MOTO:
Some thing can't stay buried...
Bashite toa vyetiiiiii
Shabiki mufu wa Ac Milan, naona mmejitoa kabisa kushiriki UEFA mkuu
 
Champions league semi final biggest win
( aggregate)
Bayern Munich 7:0 Barcelona



Spanish Super Cup biggest win
Athletico Bilbao 5:1 Barcelona


Champions league final biggest win
AC Milan 4:0 Barcelona



La liga Biggest win
Athletico Bilbao 12:1 Barcelona



Copa del rey biggest win
Real Madrid 11:1 Barcelona



2nd Biggest win in la liga

Sevilla 11:1 Barcelona



Chombadinho.wordpress.com
Sawa sawa shabiki wa Man U.
 
Mkuu PNC 1 this tym barcelona mmeingia cha kike. Sioni ni namna gani mnaweza kutoka kwa juventus wenye njaa na ucl.

Sioni ni vp Real Madrid atachomoka kwa Bayern Munich. Timu tatu tu ndio zenye nafasi ya kunyanyua kwapa. Bayern, juve na Atletico Madrid.

Atletico Madrid ndio timu pekee kwa pale spain iliyopata mteremko kidogo. Naomba kwa ajili ya atletico Madrid wanyanyue ndoo. Ingawa katika sala zangu sitaacha kuitaja juventus turin.

Poleni Barcelona
Poleni Real Madrid
Na PSG mlisemaga hivyo hivyo Ila baadae mkaja kulia na refa.
 
Nawaheshimu Barcelona,niliwasifu sana walipooverturn matokeo dhidi ya PSG...BUT..
Hizi mechi mbili za quaterfinal dhidi ya MUITALIANO huyu anayeitwa Juve,nawashauri Barca watulize vichwa,this is probably the toughest games walizowahi kucheza recently,na wasahau kabisa ile final waliyompiga Juve,ile ni mechi moja,hizi ni mechi mbili nyumbani na ugenini,and i know the strength of Italian mentality kwenye hizi games za mtoano,especially at this stage,na pia status ya Juve kama underdog kwenye huu mtanange.

Juve ni wabaya sana wakiwa underdogs.
Kama Juve atashinda kwa goli moja mechi ya kwanza nyumbani,au Barca akashinda kwa goal difference ya 2 goals au zaidi pale Turin,then Barca atakuwa na nafasi nzuri kusonga mbele
Kama Juve atashinda goal difference ya 2,Barca atakuwa na wakati mgumu mechi ya pili,hawa sio wafaransa,these are italians.
Kama Barca atashinda kwa goli moja au kutoka suluhu au sare pale Turin,then Barcelona,with all due respect to this great team,ajiandae kucheza gemu ngumu ya maisha pale Camp Nou,na asipoangalia safari itaishia pale pale mbele ya mashabiki wake.
So the worst case kwa Barca ni kutoka sare mechi ya kwanza,ataenda kukimbizwa sana pale Camp Nou.
Mkuu huijui Barcelona wewe, usiiseme kabla ya mechi kuanza, naona hamjajifunza kwa PSG
 
Mkuu,cards pekee mliyo nayo Barca ni mbili tu,either kushinda Turin kwa goal difference at least 2 au Juve kushinda goli moja mechi ya kwanza.
Tofauti na hapo mtakuwa na tough game Camp Nou.
Usifikiri zile goli za PSG utazitengeneza kirahisi mbele ya Bonuci,Sandro,Benatia,Chiellini,Evra,etc,tena wakiwa well informed kuwa inahitaji kitu cha ziada kukushinda wewe na itakuwa honour kwao,which means utacheza nao wakiwa "die hard".
Naona unawapa kick ova hatuwajui, hebu rejea ile fainali ya UEFA basi tulio wapiga 3-1 uone hao viumbe uliowataja tuliwatuliza vipi
 
Hapana labda wengine,ila mimi mechi ya PSG niliwaambia watu kuwa Barca hajafa bado wasubiri second leg,wakabisha,kilichotokea ndio kile.
Sasa safari hii nawaambia Barca,msikubali sare yoyote Turin,ni heri hawa jamaa muwaachie goli moko kuliko kutoka nao sare,watakuja kuwauweni Camp Nou.Hao hawana haya hao,hata mshangilie kwa honi za treni uwanjani,wao wanafuataga game plan yao.
Njia pekee ya kummaliza Juve ni pale pale kwake,tena unapiga haswa,au kumuacha ashinde goli moko ili wakija Catalunya waje na yale mawazo yao ya kuficha makalio nyuma,huku mbele wewe unabikiri.
Kinyume na hapo,huyu bibi atafanya yake,ushawahi kuona bibi na bwana wanaingia chumbani ,wewe unajua jamaa anaenda kufaidi halafu unasikia makofi yanarindima humbani na sauti ya kidume inagugumia maumivu kila baada ya mlio wa kofi ha haa.
Hahahaaa japo mie shabiki wa Barca umenichekesha sana eti unaficha makalio mbele wanabikiri
 
Mkuu PNC 1 this tym barcelona mmeingia cha kike. Sioni ni namna gani mnaweza kutoka kwa juventus wenye njaa na ucl.

Sioni ni vp Real Madrid atachomoka kwa Bayern Munich. Timu tatu tu ndio zenye nafasi ya kunyanyua kwapa. Bayern, juve na Atletico Madrid.

Atletico Madrid ndio timu pekee kwa pale spain iliyopata mteremko kidogo. Naomba kwa ajili ya atletico Madrid wanyanyue ndoo. Ingawa katika sala zangu sitaacha kuitaja juventus turin.

Poleni Barcelona
Poleni Real Madrid
Tar 18& 19 April sio mbali mkuu haya maneno unaweza kuja kuyakataaaa na aibu ikawa kwako!!!! Barcelona na Madrid ni team kubwa sana hakuna wakuzitisha kwa kiasi hicho
 
Nawaheshimu Barcelona,niliwasifu sana walipooverturn matokeo dhidi ya PSG...BUT..
Hizi mechi mbili za quaterfinal dhidi ya MUITALIANO huyu anayeitwa Juve,nawashauri Barca watulize vichwa,this is probably the toughest games walizowahi kucheza recently,na wasahau kabisa ile final waliyompiga Juve,ile ni mechi moja,hizi ni mechi mbili nyumbani na ugenini,and i know the strength of Italian mentality kwenye hizi games za mtoano,especially at this stage,na pia status ya Juve kama underdog kwenye huu mtanange.

Juve ni wabaya sana wakiwa underdogs.
Kama Juve atashinda kwa goli moja mechi ya kwanza nyumbani,au Barca akashinda kwa goal difference ya 2 goals au zaidi pale Turin,then Barca atakuwa na nafasi nzuri kusonga mbele
Kama Juve atashinda goal difference ya 2,Barca atakuwa na wakati mgumu mechi ya pili,hawa sio wafaransa,these are italians.
Kama Barca atashinda kwa goli moja au kutoka suluhu au sare pale Turin,then Barcelona,with all due respect to this great team,ajiandae kucheza gemu ngumu ya maisha pale Camp Nou,na asipoangalia safari itaishia pale pale mbele ya mashabiki wake.
So the worst case kwa Barca ni kutoka sare mechi ya kwanza,ataenda kukimbizwa sana pale Camp Nou.
Maneno yako tu mkuu, utakuja kutusifu tena hapa
 
Mkuu,cards pekee mliyo nayo Barca ni mbili tu,either kushinda Turin kwa goal difference at least 2 au Juve kushinda goli moja mechi ya kwanza.
Tofauti na hapo mtakuwa na tough game Camp Nou.
Usifikiri zile goli za PSG utazitengeneza kirahisi mbele ya Bonuci,Sandro,Benatia,Chiellini,Evra,etc,tena wakiwa well informed kuwa inahitaji kitu cha ziada kukushinda wewe na itakuwa honour kwao,which means utacheza nao wakiwa "die hard".
Barcelona ni timu kubwa sana, na wanaujua mpira
 
kwa mnavobebwa lazma tu
Tuwadharau


Hv unataka kunambia atl Madrid
N tim ndogo au
hivi mkuu uliona hao wanaobebwa walivo mtetemesha mtu mzima fergie?? barca bwana wanyanyase utakavyo kama hawako form ila wakiwa form ni hatari usiombe wakutanishwe na timu yako watawanyanyasa kisaikolojia mwenyewe utaogopa! we huogopi timu inaingia fainali nne inachukua zote? waulize psg ndo wahanga latest wa form ya barca saa izi unaambiwa wachezaji wa psg wanaota ndoto za kutisha kila siku
 
Tar 18& 19 April sio mbali mkuu haya maneno unaweza kuja kuyakataaaa na aibu ikawa kwako!!!! Barcelona na Madrid ni team kubwa sana hakuna wakuzitisha kwa kiasi hicho
Natambua kuwa ni timu kubwa. Lakini juve na Munich nazo ni kubwa pia. Hapa ukiangalia bila makengeza, utaona kabisa bayern wapo vizuri kuliko Madrid kwa sasa. Barcelona dhidi ya juve ni tough game. Yeyote anashinda. Na kwa aiku za karubuni Barcelona hawapo vizuri sana. Wameruhusu mabao kirahisi rahisi sana. Saaa kwa timu aina ya juve wakikupiga goal unaqeza usichomoe kabisa....
 
Natambua kuwa ni timu kubwa. Lakini juve na Munich nazo ni kubwa pia. Hapa ukiangalia bila makengeza, utaona kabisa bayern wapo vizuri kuliko Madrid kwa sasa. Barcelona dhidi ya juve ni tough game. Yeyote anashinda. Na kwa aiku za karubuni Barcelona hawapo vizuri sana. Wameruhusu mabao kirahisi rahisi sana. Saaa kwa timu aina ya juve wakikupiga goal unaqeza usichomoe kabisa....
Sawa mkuu, lkn navyo sema kuwa timu kubwa maana yangu nikuwa wanauwezo wakubadilika na kukamia game kama hizi za mtoano!!!
Viva Barca
 
Wengi humu wanaichukia Barcelona kutokana na mafanikio waliyo yapata katika miaka 12 ya hivi karibuni, kwani wamechukua laliga 8, copa de ley 4 na UEFA 4!!!
Hii ndio sababu kubwa kwa wengi huku wakiona timu zao zimekuwa zikibolonga vibaya sana
 
Back
Top Bottom