Mmh!hivi dar kuna baridi?Chomba nahisi kale kahoma kangu ka baridi kamerudi hasa baada ya kusoma hii thread.dah,mourinho kazi tunayo,Madrid hii sio ile anayoota Viper.ila group A nunueni nunueni panadol,group F wale jamaa zangu wanunue cofta,unajua mtu akilia sana hushikwa na mafua.mkuu Chomba,umewahi kushikwa na tumbo la kuhara damu?tafuta flagil ziwe mfukoni!