UEFA Champions League, Special Thread

Status
Not open for further replies.


Kukosemakana kwa AC Milan katika hatua hii imepelekea Mashindano kukosa Ladha...
 
Kukosemakana kwa AC Milan katika hatua hii imepelekea Mashindano kukosa Ladha...
Kagombanieni nafasi ya 3 kama Arsenal,Spurs,Chelsea ktk EPL,na nyie ktk Serie A ili mje upya tena ktk kombe la wanaume next season,sio staili yenu ya kupaki gari,refa kuwabeba na magoli ya mkono na kupeta penati za wazi.
 
Kwa kuwa natamani sana kombe liende Spain basi nalazimika kuiombea mema Barca kama Yanga walivyoishangilia Simba dhidi ya Azam. Japo ni nafuu kwa Marid kucheza fainali na Bayern kuliko Barca.

You wish, Madrid wanaweza kupata shida sana kwa Wajeruman lakini sio wacatalunya!
 
Kagombanieni nafasi ya 3 kama Arsenal,Spurs,Chelsea ktk EPL,na nyie ktk Serie A ili mje upya tena ktk kombe la wanaume next season,sio staili yenu ya kupaki gari,refa kuwabeba na magoli ya mkono na kupeta penati za wazi.


hilo kombe umelibeba mara 4 tu kelele hivyo...
Je ungekuwa nalo mara 7 si ungeombwa tupigwe BAN humu...
 
Kagombanieni nafasi ya 3 kama Arsenal,Spurs,Chelsea ktk EPL,na nyie ktk Serie A ili mje upya tena ktk kombe la wanaume next season,sio staili yenu ya kupaki gari,refa kuwabeba na magoli ya mkono na kupeta penati za wazi.

Team inayotakiwa kujipongeza kuwa hapo ni B.Dortmund peke yake, wako hapo kwa sababu wao ni team bora inayotokana na pure talents na dedication from players, hakuna mchezaji anayeshawishiwa na pesa hapo and they are the only UNBEATEN side left in the competition, wengine wame-buy their way to the semi finals.
 
hii game ni kati ya mtu mmoja (messi) vs eleven players (buyern). huyu jamaa awapo uwanjani ni tatizo kwa timu pinzan. wachambuzi wa soka wengi wanasema uwepo wake uwanjani hushusha morali kwa timu pinzania. rejea mechi yao na PSG ya marudiano baada ya huyu jamaa kuingia.
 

Basi leo jiandae na pampas kwa sababu mkoloni atamsababishia Nessi ahare uwanjani
 
Basi leo jiandae na pampas kwa sababu mkoloni atamsababishia Nessi ahare uwanjani

angalia vituo vyote vya luninga vitakavyo rusha game hii uone wachambuzi watakuwa wanamzungumzia nani. hapo ndo utajua nepi utashika wewe. hivi sasa nasikiliza dw radio kipindi cha michezo anazungumzwa megician
 
angalia vituo vyote vya luninga vitakavyo rusha game hii uone wachambuzi watakuwa wanamzungumzia nani. hapo ndo utajua nepi utashika wewe. hivi sasa nasikiliza dw radio kipindi cha michezo anazungumzwa megician

Unaangalia mpira kwa kutumia wachambuzi? Ndio maana unatoa makamasi kumbe, sasa endelea kukaririshwa na wachambwauzi wako pepa iko saa 9:45 usiku, maaaamake!
 
Bayern wanaingia wakiwa fresh,tangu wachukue ubingwa wachezaji wengi muhimu wanawekwa nje,sasa leo wanaanza uku messi na wenzake wakiwa hoi kwa game nyingi walizocheza.
 

Ni kweli kabisa, sio PSG tu bali hata Ac Milan.
 
kazi ipo leo. tutegemee burudani. ningependa bayern washinde.
 
Line-ups!
Valdés, Alves, Piqué, Xavi, Iniesta,
Alexis, Messi, Bartra, Sergio,
Pedro, Jordi Alba

Bench. Pinto, Montoya, Fabregas, Thiago Alcantara, Song, Villa na Abidal.
 
Neuer
Lahm Boateng Dante Alaba
Javi Martinez Schweinsteiger
Robben Muller Ribery
Gomez
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…