Mpira hauko hivyo mkuu, kila game inakua approached kwa namna yake.
Mbona B52 simuoni hapa? Chelsea anakufa hapa
Hahah..hafi mtu...first eleven yetu umeiona!??
Haina jipya. Namkubali Ramires. Hazard has an ego problem sipendi wachezaji wa hivyo and if he doesn't come back down to earth inaweza kumcost.
You like because you bet or you bet because you like?I bet on Chelsea and Real Madrid hizi ni like zangu
Mentor yeah, unahitaji kucatch up na interview zake. Nadhani wachezaji kama Ramires wanahitaji kucheza mfululizo na Di Matteo ana rotate mno. Kwenye Champions League Ramires alikua yumo kikosini panga pangua and that helped. Torres tatizo lake lipo kichwani zaidi, sijui mtamfanyaje.
View attachment 65266
- Group A
- Dynamo Kyiv
- Dinamo Zagreb
- Porto
- PSG
- Group B
- Schalke
- Montpellier
- Arsenal
- Olympiacos
- Group C
- Anderlecht
- Málaga
- Zenit
- Milan
- Group D
- Man. City
- Dortmund
- Ajax
- Real Madrid
- Group E
- Juventus
- Shakhtar Donetsk
- Nordsjælland
- Chelsea
- Group F
- Valencia
- LOSC
- BATE
- Bayern
- Group G
- Benfica
- Barcelona
- Spartak Moskva
- Celtic
- Group H
- CFR Cluj
- Man. United
- Galatasaray
- Braga
Welcome, Ladies and Gentlemen to this season's UEFA Champions League. Football is back. Let us share the match reviews, reports, action, hope and even despair. Viper, Ulimakafu, Katavi, Belo, BelindaJacob, ndetichia, mtotowamjini, kashengo, Wacha1, Rejao Balantanda, Giro, Jaguar, Questt, Pazi, Oxlade-Chamberlain, Manda, Peasant, Mentor, BAK, Kuntakinte, Ambitious Karibuni wakuu.
hapo i expect man u arsenal chelsea to go through...man city maybe...group A ni boring hakuna kitu...am looking forward to madrid vs man city tonight..thank God CL is back
also thanks ur lord god you support team which is not in death group like my team see you there already i bet for draw..
Tunaweza kuona live kwenye mtandao?
Yes boss, presuming you have a super fast internet connection you can suit yourself here! Multiple links to choose from.
Nashukuru kwa link. Ila hiyo super fast internet kizungumkuti.
which team are you supporting? man city...come on be real!! :happy:
nitafurahi sana kama man city watakishinda na kuking'oa kisiki cha morinyo