Barcelona4-1Panathinaikos
Benfica2-0Hapoel Tel-Aviv
Bursaspor0-4Valencia
FC Copenhagen1-0Rubin Kazan
FC Twente2-2Inter Milan
Lyon1-0Schalke 04
Man Utd0-0Rangers
Werder Bremen2-2Tottenham
Nimeona ila sijui fikra zake zipoje mana hii Ligi siyakufanyia majaribio wachezaji..hawa walitakiwa wapewe kama Mbili za afya!
Not a gud start to Man utd
Wadau hebu mwenye uhakika anisaidie kuniambia ukweli kama hawa ATN= AGAPE TELEVISION NETWORK, wanaonyesha hii michuano maana kuna mdau amenieleza habari hizi hivi punde
Yes, walionesha match day 1&2 na wakasema wataonesha hadi mechi ya fainali hapo May.
Nakumbuka hakukuwa na matangazo ya biashara siku hiyo kwani walisema Pastor na Mkewe ndo walilipia gharama za matangazo, hivyo wanaomba watu wenye biashara zao kumsaidia pastor kupitia matangazo ya biashara ili wawe kama wadhamini.
Sasa sijajua ni aina gani ya matangazo yanayoruhusiwa na yale ambayo hayataruhusiwa.